Waziri na Wizara ya Mambo ya Nje wanashindwa majukumu yao: tit fot tat na Kenya

Kenya walivyo toa nchi zilizo pigwa ban kwao hatuja ona hizi nyuzi zikitetea ila baada ya sisi kupiga ban naona wakenya mnao jiita watanzania mnakuja na nyuzi nyiiingi tena mnaishutumu Tanzania
 
Yanayoendelea katika mahusiano kati ya Kenya na Tanzania kwa sasa hivi hanasikitisha. Kenya ni jirani yetu na jirani ni ndugu.

Hivyo basi, matukio matatu ya haraka haraka yaliyotokea yanatushangaza. Kwanza ndege ya ujumbe wa Kenya ili rudi au kurudishwa Nairobi hivi majuzi.

Ndege hii ilikuwa na ujumbe wa viongozi waliokuwa wanakuja kuaga na kuhani msiba wa Mzee Mkapa.

Pili, Kenya iliondoa ukaribisho kwa Watanzania, kati ya nchi nyingi, kwenda Kenya ati kutokana na janga la Korona.

Tatu, leo Tanzania kwa kulipiza kisasi imeondoa ruksa ya ndege za Kenya, KQ kutua Tanzania toka tarehe 1 Agosti, yaani kesho.

Sasa hapa napata wasi wasi juu ya ukaribu na mfululizo wa matukio haya.

Je, hakuna hotline kati ya wizara za nje kati ya Kenya na Tanzania?

Kweli watu wanafanya kazi zao kwa weledi hadi mambo yatokee hadharani na kuzivunjia heshima nchi zote mbili?

Mimi nayachukulia masuala haya kama failure in Diplomacy, na watu inabidi wawajibishwe.
Hii nchi ina endeshwa kama mgahawa wa mama ntilie. Badala viongozi kufuata diplomasia wana fuata hisia binafsi. Kwamba kama huyu kafanya hivi na mimi nafanya hivi. Ndii raha ya maprof wa halalani.
 
Yanayoendelea katika mahusiano kati ya Kenya na Tanzania kwa sasa hivi hanasikitisha. Kenya ni jirani yetu na jirani ni ndugu.

Hivyo basi, matukio matatu ya haraka haraka yaliyotokea yanatushangaza. Kwanza ndege ya ujumbe wa Kenya ili rudi au kurudishwa Nairobi hivi majuzi.

Ndege hii ilikuwa na ujumbe wa viongozi waliokuwa wanakuja kuaga na kuhani msiba wa Mzee Mkapa.

Pili, Kenya iliondoa ukaribisho kwa Watanzania, kati ya nchi nyingi, kwenda Kenya ati kutokana na janga la Korona.

Tatu, leo Tanzania kwa kulipiza kisasi imeondoa ruksa ya ndege za Kenya, KQ kutua Tanzania toka tarehe 1 Agosti, yaani kesho.

Sasa hapa napata wasi wasi juu ya ukaribu na mfululizo wa matukio haya.

Je, hakuna hotline kati ya wizara za nje kati ya Kenya na Tanzania?

Kweli watu wanafanya kazi zao kwa weledi hadi mambo yatokee hadharani na kuzivunjia heshima nchi zote mbili?

Mimi nayachukulia masuala haya kama failure in Diplomacy, na watu inabidi wawajibishwe.
Usichukulie poa sana ,huwajui wakenya wewe ,hivi katika mazingira ya kawaida nani huanza kuchokoza mwenzake?,rejea kwenye upimaji.wa madereva, lilishughulikiwa,ghafla jirani yako anaruhusu ndege za uganda ,Rwanda wewe anakuruka unafikiri ni sawa ?,acheni lawama zisizo na msingi ,mkosefu mkuu hapa ni Kenya tena anafanya makusudi kabisa ,tubembeleze nini?,ikiwa anataka kuharibu biashara yetu ya utalii?
 
Mkuu Air Tanzania ina routes z Kenya?Tuanzie hapo.Kama hakuna wanajisemesha nini sasaa.Hawa kuwadharau Tz hatupeleki hata Mgambo,tunafanya Ujirani mwema na Alshabaab kwa wiki moja tu inatosha.Tz tushapigana sana saa hivi tunajenga Nchi.Uhuru wao Kenya wenyewe kuna Voice ya Tanzania.
Mawazo ya kijima yasiyojenga umoja na ushirikiano kati ya majirani.
 
Hii ndio naisikia leo! Nina hakika utakuwa unadanganya.

Mkuu 'Jidu La Mabambasi', unao ushahidi wa kuonyesha kwamba "Kenya ndio nchi ya pili kwa ukubwa wa biashara na Tanzania"?

Kenya wakiuza sana hapa kwetu sio zaidi ya $600 kwa mwaka. Biskuti, Icecream, maziwa, na mara moja moja mali za viwandani kama madawa havijawahi kupandisha biashara kuwa kubwa sana toka kwao. Sisi hatununui maua, mbogamboga toka huko.

Sisi hata hiyo $300 milioni haijawahi tokea. Mahindi yetu, vitunguu, maharage - hatuuzi dhahabu huko, na wala hatupati watalii wengi tokea pande hizo.

Sasa sijui ukubwa upi wa uchumi kati ya hizi nchi mbili unaouzungumzia!

Kwa takwimu feki
Tanzania exports, imports and trade balance By Country. In 2018, Tanzania major trading partner countries for exports were Rwanda, Kenya, Congo, Dem. Rep., Zambia and Uganda and for imports they were China, India, United Arab Emirates, Saudi Arabia and South Africa.
Main Partner Countries
Main Customers
(% of Exports)
2018
Rwanda18.7%
Kenya9.2%
Zambia7.3%
Uganda5.3%
United States4.1%
See More Countries55.4%
https://www.nordeatrade.com/en/explore-new-market/tanzania/trade-profile
 
Sema hawajui pia anachokitaka boss wao
Precision air huwa wana route ya Kenya karibu kila siku. Kuzuia ndege haina maana ni ATC pekee; licha ya precision air; kuna chattered airlines (hizi ni ndege za kukodi kama taxi) ambazo husafirisha watu binafsi husan watalii ambao wangependa kuingia +254 tokea Tanzania.

Kiufupi, sisi na jirani yetu (+254) toka enzi ya mwl, huwa tuna figisu+figisu; sijui ni lini litaisha.
Walipokosa vitunguu sokoni Nairobi, Balozi wao Dan Kazungu akaja na msemo, "jamani sisi ni ndugu"
Ngoja tuone, tunaendaje kwa sasa.
 
Sasa mkuu ndege imeshindwa kuja bongo kisa hali ya hewa unataka wizara ya mambo ya nje ifanye nini? Kuna diplomasia ya kutuliza hali ya hewa? Au kenya kuzuia watanzania kufika kwao kisa corona ni swala la kiafya hilo na wako sahihi tu, ili tusiambukizane corona yafaa kila mtu abakie nchini kwao. Sasa kuna diplomasia gani hapo inahitajika katika corona na muingiliano wa watu?

Ndege kuzuiwa kufika ni swala la wizara ya uchukuzi hilo. Na hiyo ni hatua kulingana na janga hili la corona. Kenya ipo corona sana sasa waje huku watuletee corona? Au watoke na corona huku? Na pia kwa nini imekataza vibali vya ndege zetu kutua kwao wakati zao zinakuja kwetu? Hili mamlaka za usafiri wa anga wamalizane wenyewe.
Point
 
Tungekuwa na watendaji wenye jicho la kibiashara, huu ulikuwa wakati wa kutengeneza hela sana.

Kenya hawana nafaka ya kutosha kwa ajili ya ugali, gidheri (makande) na pumba chakula cha ng'ombe. Hawana raw materials za kutosha kutoka kwenye pamba, ufuta au alizeti kwa ajili ya mashudu.

Huu ulikuwa wakati wa kuuza final products za mahindi (unga wa sembe au dona) na kuuza chakula cha wanyama kilichosindikwa kwa ajili ya kuku wao, ng'ombe au nguruwe.
Vitunguu na tangawizi, ilitakiwa tusindike na kuuza kama onion powder, ginger powder. Tunaongeza thamani kwa kutengeneza ajira na kupata fedha nyingi zaidi.

Yani ngoma zinachakatwa huku (tunazalisha ajira) then tunauza final products. Mbona wao wanauza siagi ya Blue band na prestige, bila hata kuitangaza. Wanauza maziwa ya brookside na New KCC. Hivi vimejaa supermarkets zao.

Very unfortunate, wizara za kilimo na wizara wa viwanda, wizara ya fedha hazina watu wenye DNA ya kujua namna gani ya kutengeneza synergy ili "tuwapige hela" kiroho safi kwa biashara zaidi. Chakula toka Tanzania ni kila kitu kwa Kenya ikujumuisha mchele wenye harufu nzuri.
 
Yanayoendelea katika mahusiano kati ya Kenya na Tanzania kwa sasa hivi hanasikitisha. Kenya ni jirani yetu na jirani ni ndugu.

Hivyo basi, matukio matatu ya haraka haraka yaliyotokea yanatushangaza. Kwanza ndege ya ujumbe wa Kenya ili rudi au kurudishwa Nairobi hivi majuzi.

Ndege hii ilikuwa na ujumbe wa viongozi waliokuwa wanakuja kuaga na kuhani msiba wa Mzee Mkapa.

Pili, Kenya iliondoa ukaribisho kwa Watanzania, kati ya nchi nyingi, kwenda Kenya ati kutokana na janga la Korona.

Tatu, leo Tanzania kwa kulipiza kisasi imeondoa ruksa ya ndege za Kenya, KQ kutua Tanzania toka tarehe 1 Agosti, yaani kesho.

Sasa hapa napata wasi wasi juu ya ukaribu na mfululizo wa matukio haya.

Je, hakuna hotline kati ya wizara za nje kati ya Kenya na Tanzania?

Kweli watu wanafanya kazi zao kwa weledi hadi mambo yatokee hadharani na kuzivunjia heshima nchi zote mbili?

Mimi nayachukulia masuala haya kama failure in Diplomacy, na watu inabidi wawajibishwe.

Achana na usiyoyajua Wakenya ni Mbwa, wamechezea viongozi waliopita kwa kiwango cha juu, sasa wamekutana na brain, mzalendo na mchapakazi. Kaa kimya kwa usioyajua tuna mafaili ya kauli na matendo ya wakenya kabla, wakati na baada ya uhuru mpaka leo, Wakenya ni mbwa tu
 
Back
Top Bottom