Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,419
- 21,243
Hata siku moja akuna mtu atakuelewa ati kisa k uwarudisha ma dk unamfukuza blandina nyoni katibu mkuu pekee hii aieleweki hata kidogo...mh pinda ndani ya mwezi mmoja mliopewa na mdk akikisheni mmewaondoa huyo waziri na naibu wazir wa afya vinginevyo naomba huo upelelezi usifanyike maana wakiwa madarakani na wao kama ma bosi wana uwezo wa kuharibu upelelezi wa polisi
ndio maana mwenye hekima anajivua mwenye kama sio kuomba akae pembeni kupisha uchunguzi uwezi kutuambia uchunguzi uanze mara moja wakati waliosaini..vifaa feki vya kupima hIv wapo waliosaini kuleta vifaa vibovu vya figo mara mbili nchini wapo hizo ni porojo kabisa
tutakuelewa kama ungerudi kama swala la emrgency umwambie rais wako kwamba hawa nop waacheni polisi wafanye kazi yao else mtuambie hizo kuwafukuza blandina nyoni ni porojo kurudi kwa ma dk ofisini
natumaini mh waziri mkuu atupendi siasa inapofika uhai wa mtu , wangapi wamekufa ama kwa kujiua kisa kupima na kuambiwa ana ukimwi kumbe sio kwa ajili ya dili chafu za mama blandina nyoni na waziri wako wa afya??atuwataki nasema watokeeee kwanza mwezi mwingi sana na nyie ma dk sijui ulimboka washakuita ikulu na wewe kama tucta..tuwe na msimamo jamani michezo hiimichafu inajulikana kila wizara umewahi kujiuliza zile ripoti za cag halmashauri imetafuna billion mbili bado mkurugenzi yuko kazini amwoni ni kamchanga cha macho fulani wasitufanye wajinga bana tumechoka kabisa na huu ujinga
ndio maana mwenye hekima anajivua mwenye kama sio kuomba akae pembeni kupisha uchunguzi uwezi kutuambia uchunguzi uanze mara moja wakati waliosaini..vifaa feki vya kupima hIv wapo waliosaini kuleta vifaa vibovu vya figo mara mbili nchini wapo hizo ni porojo kabisa
tutakuelewa kama ungerudi kama swala la emrgency umwambie rais wako kwamba hawa nop waacheni polisi wafanye kazi yao else mtuambie hizo kuwafukuza blandina nyoni ni porojo kurudi kwa ma dk ofisini
natumaini mh waziri mkuu atupendi siasa inapofika uhai wa mtu , wangapi wamekufa ama kwa kujiua kisa kupima na kuambiwa ana ukimwi kumbe sio kwa ajili ya dili chafu za mama blandina nyoni na waziri wako wa afya??atuwataki nasema watokeeee kwanza mwezi mwingi sana na nyie ma dk sijui ulimboka washakuita ikulu na wewe kama tucta..tuwe na msimamo jamani michezo hiimichafu inajulikana kila wizara umewahi kujiuliza zile ripoti za cag halmashauri imetafuna billion mbili bado mkurugenzi yuko kazini amwoni ni kamchanga cha macho fulani wasitufanye wajinga bana tumechoka kabisa na huu ujinga