borncool
JF-Expert Member
- Jul 8, 2013
- 226
- 49
Akiongea NA redio one kwenye kipindi cha Nipashe leo hii.Waziri Wa kilimo,chakula na ushirika mheshimiwa Christopher Chiiza amjibu Nape akidai Nape amekurupuka kuongea pasipo kuuliza chama na serikal kwa makubwa ambayo wizara yake imefanya na kudai kukidhi matakwa ya kilimo kwa asilimia 118,hivyo kudai tena wa kumhukumu si yeye(Nape) bali wananchi, na akaongeza kuwa hayo si masuala ya kuongea hadharan bali angesubiri kuyaongea kwenye kamati kuu.
La kujiuliza:Hapa kazi,hivi hii wizara kweli imedorora????
La kujiuliza:Hapa kazi,hivi hii wizara kweli imedorora????