Ndiyo uhalisiAiseh hii nchi hii ni ngumu sana
Hizi takwimu sidhan kama zipo sahihi
Yaani inamaanisha kodi gani labda??
Si tozo tu. Kila bidhaa ya viwandani unayonunua dukani umelipa kodi. Kama Serikali inashindwa kukusanya wawapishe wanaoweza.Anatakiwa awe specific! Anaongelea kodi gani? Maana hakuna Mtanzania asiyekamuliwa kupitia tozo.
VAT mbona almost kila mtu analipa, sasa anaongelea kodi gani?Waziri Mwingulu ameyasema hayo leo Jumatano Januari 11, 2023 alipokuwa akifungua Kongamano la Kodi Kitaifa jijini Dar es Salaam, akisema tofauti na zamani, sasa miongoni mwa Watanzania milioni 62, ni Watanzania milioni tatu tu ndio wanalipa kodi.
Unalipa wapi- mkuu ngoja nikupe mfano wapo wanaompa hela binti wa wazazi wake ila anayetambuliwa ni yule aliyetoa mahali- mnanunun bidhaa kwa wasiotoa risiti ama hamchui risiti na mkichukua hamjali kama kiasi cha fedha ni kile mlicholipaVAT mbona almost kila mtu analipa,sasa anaongelea kodi gani?
kwa hiyo Raia 95.2% hawajui kitu kinaitwa kodi.Waziri Mwingulu ameyasema hayo leo Jumatano Januari 11, 2023 alipokuwa akifungua Kongamano la Kodi Kitaifa jijini Dar es Salaam, akisema tofauti na zamani, sasa miongoni mwa Watanzania milioni 62, ni Watanzania milioni tatu tu ndio wanalipa kodi.
Nashauri shughuli zisizorasmi zirasimishwe kwanza kabla ya kuanza kutozwa kodi.Kwanini tax base haiongezwi kwenye..
1. BODA BODA na Bajaj
2. DJAYS
3.MCs
4.Dini... kama kina Mwamposa &co
5.Licensing... non-formal sector
... eti tofauti na zamani; zamani under 18 walikuwa wanalipa kodi? Age structure ya nchi hii ikoje? 18 - 60? Maana kimsingi hao ndio walipa kodi; alitakiwa afanye comparison based on that age group na sio kuzungumzia watanzania wote.Waziri Mwingulu ameyasema hayo leo Jumatano Januari 11, 2023 alipokuwa akifungua Kongamano la Kodi Kitaifa jijini Dar es Salaam, akisema tofauti na zamani, sasa miongoni mwa Watanzania milioni 62, ni Watanzania milioni tatu tu ndio wanalipa kodi.
Mkuu mbona kama una hasira... eti tofauti na zamani; zamani under 18 walikuwa wanalipa kodi? Age structure ya nchi hii ikoje? 18 - 60? Maana kimsingi hao ndio walipa kodi; alitakiwa afanye comparison based on that age group na sio kuzungumzia watanzania wote.
Halafu mkiambiwa hamjui kazi mnawaambia watu waende burundi.Waziri Mwingulu ameyasema hayo leo Jumatano Januari 11, 2023 alipokuwa akifungua Kongamano la Kodi Kitaifa jijini Dar es Salaam, akisema tofauti na zamani, sasa miongoni mwa Watanzania milioni 62, ni Watanzania milioni tatu tu ndio wanalipa kodi.