Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,811
- 6,780
Apewe hongera
ChakubangaTaratibu lakini tutafikia lengo
Akili yangu ipo constant labda ya kwako ndio imerudiAkili imekurudia sasa
Miaka 60 ya uhuru, mmekaa mnawasubiri wazungu waje wawajengee vyoo? Msahau.Hakika hayupo anayetupenda sana hadi atujengee miundombinu kwa ajili ya afya zetu.
ni lazima tujenge miundombinu ya afya sisi wenyewe kwa kodi zetu.
Hiyo ni heshima na thamani ya Uhuru kamili
.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Vipo Pemba mkuuNavitafuta sana....sivioni. nadhani wajenzi wameenda kujenga porini au wamevificha. Wajenge sehemu ambayo tunaweza vifikia kwa urahisi. Vituo vya afya 220
Waache kumchonganisha Rais na Wananchi, Pia waache kumshauri vibaya.
WanakarabatiHa ha ha, kwani wameshaanza kujenga ?!
Samia ni fundi? vinajengwa na serikali mkuuNavitafuta sana....sivioni. nadhani wajenzi wameenda kujenga porini au wamevificha. Wajenge sehemu ambayo tunaweza vifikia kwa urahisi. Vituo vya afya 220
Waache kumchonganisha Rais na Wananchi, Pia waache kumshauri vibaya.
Serikali ni fundi?Samia ni fundi? vinajengwa na serikali mkuu
Inatoa fedhaSerikali ni fundi?
Labda maana hata kijijini kwetu hakuna mpk Leo ht msingi sijaona au eneo kufyekwa!Vipo Pemba mkuu
Now yupo busy na maigizoLabda maana hata kijijini kwetu hakuna mpk Leo ht msingi sijaona au eneo kufyekwa!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app