Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,899
Hakuna dawa ni baadhi tuu huwa hazipo hata farmacy huwa hakuna dawa zote.Hivi tatizo ni majengo au huduma bora? Hapa nilipo kuna hospitali ya wilaya na ya tarafa lakini ukienda kupata huduma unaambiwa hakuna dawa, unaambiwa dawa kanunuwe pale!
Ushauri wangu ni kwamba ziboresheni kwanza hospitali na vituo vyote vya afya vilivyopo,nikimaanisha madawa nawahudumu wawepo Wa kutosha kabla ya kuongeza vituo vingine!.
Shule za kata zilianza kwa majengo na huduma kujikongoja lakini as time goes ziliboreka.
Nyingi ya vituo vya afya vitaanza kwa ajili ya wamama wajawazito, watoto na wagonjwa wa nje,baada ya miaka 3 hivi vitaanza kutoa huduma nzuri zaidi maana vitaletewa wataalamu na majengo yataongezeka kwa ajili ya magonjwa mengineyo.