kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,412
- 7,194
Hawajajenga ndio wanajidai wametoa hela utafikiri washajenga. Tofauti na magufuli wenye meno wanangoja kula hizo hela. Hapo mama kama kweli ni kitu kimoja na magufuli ahakikishe walaji wanavunjwa meno.Navitafuta sana....sivioni. nadhani wajenzi wameenda kujenga porini au wamevificha. Wajenge sehemu ambayo tunaweza vifikia kwa urahisi. Vituo vya afya 220
Waache kumchonganisha Rais na Wananchi, Pia waache kumshauri vibaya.