IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,184
- 7,819
Mahakama kutamka huna kosa haimaanishi watu wasikukamate kama wanaona unafanya makosa
...Mahakama kutamka kuwa huna kosa it simply means waliokamata hawajui wajibu wao na wanatumia vibaya national resources, watu kama hawa ni wa kutimulia mbali kwa sababu ni mzigo na pia wanaifanya mahakama inakuwa bize for nothing.