Waziri Mwigulu Nchemba awaonya Wafanyabiashara wanaowafundisha Watanzania kukwepa kodi

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,805
4,481
1630490191425.png

Waziri wa Fedha amewaonya wafanyabiashara wanaowafundisha Watanzania kukwepa kodi kwa kuwapa bei mbili za bidhaa, bei yenye risiti na bei isiyo na risiti. Amesema kuna wafanyabiashara wakidaiwa risiti wanajivuta, mara wanafuta mashine vumbi, hadi anayedai risiti akate tamaa.

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema idadi ya miamala ya simu kabla ya tozo na baada ya tozo inalingana, ambayo ni kati ya miamala 10 hadi milioni 11. Amekanusha madai kuwa tozo za miamala zimeshababisha kupungua kwa miamala ya fedha kwa njia ya simu.

Kuhusu anayetoa fedha na ayepokea fedha wote kukatwa tozo, Waziri Dkt. Mwigulu Nchemba amesema isichukuliwe kuwa kila anayetumiwa fedha ni msaada, kwani wapo wafanyabiashara wa mtandaoni na mafundi wanaolipwa kwa simu, hivyo lazima na wao walipe.
 

Waziri wa Fedha amewaonya wafanyabiashara wanaowafundisha Watanzania kukwepa kodi kwa kuwapa bei mbili za bidhaa, bei yenye risiti na bei isiyo na risiti. Amesema kuna wafanyabiashara wakidaiwa risiti wanajivuta, mara wanafuta mashine vumbi, hadi anayedai risiti akate tamaa.

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema idadi ya miamala ya simu kabla ya tozo na baada ya tozo inalingana, ambayo ni kati ya miamala 10 hadi milioni 11. Amekanusha madai kuwa tozo za miamala zimeshababisha kupungua kwa miamala ya fedha kwa njia ya simu.

Kuhusu anayetoa fedha na ayepokea fedha wote kukatwa tozo, Waziri Dkt. Mwigulu Nchemba amesema isichukuliwe kuwa kila anayetumiwa fedha ni msaada, kwani wapo wafanyabiashara wa mtandaoni na mafundi wanaolipwa kwa simu, hivyo lazima na wao walipe.
Huyu babu anazeeka vibaya sn
 

Waziri wa Fedha amewaonya wafanyabiashara wanaowafundisha Watanzania kukwepa kodi kwa kuwapa bei mbili za bidhaa, bei yenye risiti na bei isiyo na risiti. Amesema kuna wafanyabiashara wakidaiwa risiti wanajivuta, mara wanafuta mashine vumbi, hadi anayedai risiti akate tamaa.

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema idadi ya miamala ya simu kabla ya tozo na baada ya tozo inalingana, ambayo ni kati ya miamala 10 hadi milioni 11. Amekanusha madai kuwa tozo za miamala zimeshababisha kupungua kwa miamala ya fedha kwa njia ya simu.

Kuhusu anayetoa fedha na ayepokea fedha wote kukatwa tozo, Waziri Dkt. Mwigulu Nchemba amesema isichukuliwe kuwa kila anayetumiwa fedha ni msaada, kwani wapo wafanyabiashara wa mtandaoni na mafundi wanaolipwa kwa simu, hivyo lazima na wao walipe.
Kwahiyo na yeye anawafundisha mafundi kudai malipo keshi

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 

Waziri wa Fedha amewaonya wafanyabiashara wanaowafundisha Watanzania kukwepa kodi kwa kuwapa bei mbili za bidhaa, bei yenye risiti na bei isiyo na risiti. Amesema kuna wafanyabiashara wakidaiwa risiti wanajivuta, mara wanafuta mashine vumbi, hadi anayedai risiti akate tamaa.

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema idadi ya miamala ya simu kabla ya tozo na baada ya tozo inalingana, ambayo ni kati ya miamala 10 hadi milioni 11. Amekanusha madai kuwa tozo za miamala zimeshababisha kupungua kwa miamala ya fedha kwa njia ya simu.

Kuhusu anayetoa fedha na ayepokea fedha wote kukatwa tozo, Waziri Dkt. Mwigulu Nchemba amesema isichukuliwe kuwa kila anayetumiwa fedha ni msaada, kwani wapo wafanyabiashara wa mtandaoni na mafundi wanaolipwa kwa simu, hivyo lazima na wao walipe.
Huyu waziri muongo kwa kusema miamala kabla na wakati wa tozo inalingana.

Mm binafs tangu tozo ziingie, nimefanya miamala zaidi ya 92 ya fedha kwa kutumia benk tu. Na uku mwanzo ingekuwa ni miamala ya cm

Watu wote walio taka kunitumia hela niliwapa account za benk au kuwawekea mashart kwamba Kama unanitumia hela tuma na matozo Jambo ambalo halikufanyika.

Kwan mheshimiwa Mwiguru, ukisema ukweli si bado utabaki kuwa muheshimiwa tu!!!
 
Huyu waziri muongo kwa kusema miamala kabla na wakati wa tozo inalingana.

Mm binafs tangu tozo ziingie, nimefanya miamala zaidi ya 92 ya fedha kwa kutumia benk tu. Na uku mwanzo ingekuwa ni miamala ya cm

Watu wote walio taka kunitumia hela niliwapa account za benk au kuwawekea mashart kwamba Kama unanitumia hela tuma na matozo Jambo ambalo halikufanyika.

Kwan mheshimiwa Mwiguru, ukisema ukweli si bado utabaki kuwa muheshimiwa tu!!!
Leo nimepigiwa simu na Voda,wamenishawishi kufanya miamala kwani tozo zimepunguzwa!
Sijui huyu Mwigulu anamdanganya nani?
 
T
Mm binafs tangu tozo ziingie, nimefanya miamala zaidi ya 92 ya fedha kwa kutumia benk tu. Na uku mwanzo ingekuwa ni miamala ya cm
his is True; Kuna Bwana Mdogo pia nilikuwa naongea naye Yuko Microfinance fulani ivi, Channel yao kubwa ilikuwa ni Mobile; Ila ivi karibuni Mobile COllection imedrop sana wateja wengi wanaenda kuweka Bank na kuwapelekea Risiti Offisin, Report za MObile Payment zimeshuka sana, nadhani kama kuna mtu Voda anaweza kuwa na Analysis report nzuri.

Regards,
 

Waziri wa Fedha amewaonya wafanyabiashara wanaowafundisha Watanzania kukwepa kodi kwa kuwapa bei mbili za bidhaa, bei yenye risiti na bei isiyo na risiti. Amesema kuna wafanyabiashara wakidaiwa risiti wanajivuta, mara wanafuta mashine vumbi, hadi anayedai risiti akate tamaa.

Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema idadi ya miamala ya simu kabla ya tozo na baada ya tozo inalingana, ambayo ni kati ya miamala 10 hadi milioni 11. Amekanusha madai kuwa tozo za miamala zimeshababisha kupungua kwa miamala ya fedha kwa njia ya simu.

Kuhusu anayetoa fedha na ayepokea fedha wote kukatwa tozo, Waziri Dkt. Mwigulu Nchemba amesema isichukuliwe kuwa kila anayetumiwa fedha ni msaada, kwani wapo wafanyabiashara wa mtandaoni na mafundi wanaolipwa kwa simu, hivyo lazima na wao walipe.
😏 Aende zake huko! Watu wanahangaika juani, huku wakiwa wamekopa mikopo yenye riba kubwa!

Halafu anataka kuwepo na mgawanyo sawa na watu wanaoshinda maofisini kwenye viyoyozi!!! Hilo asahau.

Ningemuelewa kama angepambana kuhakikisha riba za mabenki zinashuka mpaka kufikia hata1% !!! ili tu wafanyabiashara waweze kukopa kwa wingi, na hivyo kupata faida kubwa!
 
Huyu waziri muongo kwa kusema miamala kabla na wakati wa tozo inalingana.

Mm binafs tangu tozo ziingie, nimefanya miamala zaidi ya 92 ya fedha kwa kutumia benk tu. Na uku mwanzo ingekuwa ni miamala ya cm

Watu wote walio taka kunitumia hela niliwapa account za benk au kuwawekea mashart kwamba Kama unanitumia hela tuma na matozo Jambo ambalo halikufanyika.

Kwan mheshimiwa Mwiguru, ukisema ukweli si bado utabaki kuwa muheshimiwa tu!!!
Hana uheshimiwa wowote,mwiteni waziri mwigulu tu.
Anayoyafanya hayastahili kuitwa ivo

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom