Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,735
- 6,281
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amewataka wafanyabiashara waliokimbilia Nakonde, Zambia, kwa maelezo kuwa huko kuna unafuu wa kodi kuliko Tunduma, Tanzania warejee, na malalamiko yao yatafanyiwa kazi. Amewataka wananchi kutoikimbia nchi yao kwa sababu ya matatizo yanayotatulika.