5997
JF-Expert Member
- Jan 19, 2019
- 514
- 1,204
Kuhusu kusajiri upya simcard kwa fingerprint,
Ndugu waziri usajili huu unatutaka tuwe na vitambulosho vya nida,
Ndugu waziri wengi wetu hatuna hivyo vitambulisho na wengine hata tu kujiandikisha hawakujiandikisha kutokana na sababu zilizokua nje ya uwezo wao,
Sasa mweshmiwa waziri naomba uitishe press uongee na watanzania,
Je ambao hatuna vitambulisho tufanyeje?
Na ambao hawajawai hata kujiandikisha tufanyeje?
Mh waziri huoni kwamba hili zoezi litakua gumu?
Je kwanini msingehakikisha kwanza angalau 60% ya watanzania wanavitambulosho ndipo muanze zoezi la usajili mpya?
Pia angalia hii changamoto waziri
Nilijiandikisha na kupigwa picha Mwanza lakini tangu nimejiandikisha mpaka sasa sijapata kitambulisho na hivi sasa nimehamia morogolo kikazi, mh waziri unaiona hiyo changamoto lakini?
Mh waziri hivi hilo swala mlikaa mkajadili kweli halafu mkatoka na azimio hilo?
Mh waziri ASANTE
Ndugu waziri usajili huu unatutaka tuwe na vitambulosho vya nida,
Ndugu waziri wengi wetu hatuna hivyo vitambulisho na wengine hata tu kujiandikisha hawakujiandikisha kutokana na sababu zilizokua nje ya uwezo wao,
Sasa mweshmiwa waziri naomba uitishe press uongee na watanzania,
Je ambao hatuna vitambulisho tufanyeje?
Na ambao hawajawai hata kujiandikisha tufanyeje?
Mh waziri huoni kwamba hili zoezi litakua gumu?
Je kwanini msingehakikisha kwanza angalau 60% ya watanzania wanavitambulosho ndipo muanze zoezi la usajili mpya?
Pia angalia hii changamoto waziri
Nilijiandikisha na kupigwa picha Mwanza lakini tangu nimejiandikisha mpaka sasa sijapata kitambulisho na hivi sasa nimehamia morogolo kikazi, mh waziri unaiona hiyo changamoto lakini?
Mh waziri hivi hilo swala mlikaa mkajadili kweli halafu mkatoka na azimio hilo?
Mh waziri ASANTE