Haa nao ndo wafuasi wa makamba wachina hawajawahi kuwa wajingaUtaajiriwa na nani?
Haa nao ndo wafuasi wa makamba wachina hawajawahi kuwa wajingaUtaajiriwa na nani?
Kipi kimekufanya umuone mwenda zake ni myongo na huyu ndo mkweĺiSasa mwendazake yale maneno aliokuwa anadanganya Umma wa Watanzania aliyatoa wapi, kwa maelezo haya ya Mwambe naamini kwa asilimia mia 100 yule mzee hakuwa na nia ya dhati kutusaidia watanzania... Halafu anasema msema kweli mpenzi wa Mungu... Hakika tutaendelea kumshukuru Mungu.
Haa sio lazima uambiwe mkuu jiòngeze tu kila mtu akikwambia usiendeleze bandari yoyote kutoka dar mpaka pangani according tu mwambe ni lazima anatafuta monopoly ya biasharaWameandika wapi bandari nyingine zitakufa, Hayati kawatia upofu watu wengi sana aisee. Inabidi itolewe elimu kubwa sana kwa Umma. Mtu alijenga uwanja wa ndege kijijinii kwake na bila bunge kupitisha sijui tulirogwa.
Kwani mpaka uandikiwe au uambiwe. Wewe huwezitumia akili zako. Dar inapanuliwa tena kwa mikopo. Huku unajenga bandari nyingine kwa mikopo. Vitu vya kusafirisha huna.Wameandika wapi bandari nyingine zitakufa, Hayati kawatia upofu watu wengi sana aisee. Inabidi itolewe elimu kubwa sana kwa Umma. Mtu alijenga uwanja wa ndege kijijinii kwake na bila bunge kupitisha sijui tulirogwa.
Rubbish, mwache amalizie awamu yake akae bench. Nchi hii sio ya mazuzu, tunataka visionary leaders sio wachumia tumbo.Safiii Samia na Maendeleo
Samia hadi 2035
Hapa umepigilia msumari kwenye kidonda. Si wote wanaolijua hili ila kiukweli loliondo imeuzwa na kipande kile hakuna mwenye uwezo wa kuingia wala kukagua. Madege ya mzigo yanatuambugani ni ajabu kweli.Kusikia Kwa Kenge Hadi Atoke Damu Puani Na Masikioni
Mabeberu Ya China Yanakuja Kujichotea Vyote Mkataba Wa Miaka 1000 Oops
Yale Ya Loliondo Waarabu Wamechukua Nchi Viongozi Wakiona Na Hawana La Kusema
Enzi za JK hiyo wizara ya uwekezaji haikuwepo.Kama nyaraka zilikuwa Ikulu atatuambia nini?Usiwaamini hawa watu.
Sawa amezipitia, swali ni je, ana utaalamu wa mikataba na maswali mengine ya kitaalamu?
Kama ambavyo Mbowe sio gaidi, na sisi wananchi sio wajinga.
Mwambe anajua kabisa kuwa kabla ya mkataba wowote kusainiwa kunakuwa na MoU ambayo ndo huwa basis ya mkataba husika. inawezekana mkataba ulikuwa haujasainiwa ila MoU ilisainiwa, asitake kumdhalilisha hivyo huyu mzee aliyejipumzikia, RIP JPMWaziri wa uwekezaji Mr. Mwambe amesema hakuna mkataba wowote uliosainiwa hapo awali kuhusu bandari ya Bagamoyo zaidi ya minutes tu za vikao.
Mwambe amesema serikali itaanza rasmi mazungumzo na Oman na China ikiwa na maagizo ya Rais Samia baada ya kuwa amezipitia nyaraka zote.
Chanzo: ITV habari
Pia soma
Sio ujuaji, watu wana haki ya kuhoji na kujua kinachofanyika ni nchi ya wote na hao viongozi sio baba au mama wa familia ni raia tuu kama wengine wafuate sheria na sio kutupa mikataba ya kitapeli kama uzoefu unavyoonyesha, kama wewe umezoea kuburuzwa ni shida yako na pole sanaTatizo la Watanzania ujuaji wa kila kitu hata kwa kile hatuna ufahamu nacho umetujaa. Sikushangaa awamu ya tano kuingia mikataba kimyakimya iliogopa ujuaji wa namna hii. Tuache Tanzania ya kisasa ijengwe walau tutaweza kupata japo hata kakibarua ili familia iweze kuishi
Tatizo ninyi mnaohoji awamu ya sita mmejiona mnahakimiliki ya nchi hii wakati wa awamu ya tano walipokuwa wanahoji mliwaona sio raia wa nchi hii.Sio ujuaji, watu wana haki ya kuhoji na kujua kinachofanyika ni nchi ya wote na hao viongozi sio baba au mama wa familia ni raia tuu kama wengine wafuate sheria na sio kutupa mikataba ya kitapeli kama uzoefu unavyoonyesha, kama wewe umezoea kuburuzwa ni shida yako na pole sana