Miti7
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 993
- 1,744
Sina mtoto wa miaka 10Kavae kiatu cha mtoto wako wa miaka 10, utaelewa tu!
Nina dowans, Richmond, iptl na Bandari ya Bagamoyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina mtoto wa miaka 10Kavae kiatu cha mtoto wako wa miaka 10, utaelewa tu!
Hatujapigwa?Waziri wa uwekezaji Mr Mwambe amesema hakuna mkataba wowote uliosainiwa hapo awali kuhusu bandari ya Bagamoyo zaidi ya minutes tu za vikao.
Mwambe amesema serikali itaanza rasmi mazungumzo na Oman na China ikiwa na maagizo ya Rais Samia baada ya kuwa amezipitia nyaraka zote.
Chanzo: ITV habari
Acha undezi kenge nyie. Haukuwepo vipi wakati makubariano yanarudi tena kwa wale wale China na Oman?.Who is Dr. Chamuriho....unaambiwa mkataba haukuwepo unaleta undezi hapa simama katika HOJA.
Daaah! Hakika Africa ni ile ileSasa mwendazake yale maneno aliokuwa anadanganya Umma wa Watanzania aliyatoa wapi , kwa maelezo haya ya Mwambe naamini kwa asilimia mia 100 yule mzee hakuwa na nia ya dhati kutusaidia watanzania... Halafu anasema msema kweli mpenzi wa mungu... hakika tutaendelea kumshukuru mungu.
Kweli watu mpo kimatumbo zaidiSasa mwendazake yale maneno aliokuwa anadanganya Umma wa Watanzania aliyatoa wapi , kwa maelezo haya ya Mwambe naamini kwa asilimia mia 100 yule mzee hakuwa na nia ya dhati kutusaidia watanzania... Halafu anasema msema kweli mpenzi wa mungu... hakika tutaendelea kumshukuru mungu.
Hakika tumepigwa na kitu kizito kichwaniSasa bado najiuliza hivi ilikuwaje kwa Rais Kikwete tarehe 16/10/2015 pale bagamoyo aliweka jiwe la msingi la kuanza kujengwa bandari hiyo ya Bagamoyo ikiwa mkataba ulikuwa bado haujasainiwa?
Hawa jamaa wanatufanya sisi mazuzu.
Wameandika wapi bandari nyingine zitakufa, Hayati kawatia upofu watu wengi sana aisee. Inabidi itolewe elimu kubwa sana kwa Umma. Mtu alijenga uwanja wa ndege kijijinii kwake na bila bunge kupitisha sijui tulirogwa.
Wewe ulijirizisha na mkataba wa ujenzi wa bwawa la umeme mto rufiji?? Mbona uliushadadia??Kushabikia ujenzi wa hiyo bandari pasipo kujiridhisha kwa hiyo mikataba ni uzwazwa.
Lile bwawa lina shda gan?Wewe ulijirizisha na mkataba wa ujenzi wa bwawa la umeme mto rufiji?? Mbona uliushadadia??
Akikujibu nitaggLile bwawa lina shda gan?
Mlivyokuwa mnashangilia mikataba ya mwendazake mlikuwa mmeisoma? mwacheni mama apige kazi. Bora ht yeye tunaweza tukaiona mikataba kuliko ya yule aliyeficha mikataba na kuanza kuwekea Kinga Hadi spika wa bungeShangililia baada ya kujua mkataba ukoje. Acheni kuwa mazuzu.
Hivyo viwanda vya mbolea kwanini visijengwe Mtwara Lindi na Bandari Mtwara kuimarishwa tena ni natural portWaziri wa uwekezaji Mr. Mwambe amesema hakuna mkataba wowote uliosainiwa hapo awali kuhusu bandari ya Bagamoyo zaidi ya minutes tu za vikao.
Mwambe amesema serikali itaanza rasmi mazungumzo na Oman na China ikiwa na maagizo ya Rais Samia baada ya kuwa amezipitia nyaraka zote.
Chanzo: ITV habari
Pia soma
Mama Swala tano, Msalie Mtume kijanaUle ambao mlevi taahira tu ndio anaweza kusaini? JPM ndio alisema hivyo, kwahiyo hii ni serikali ya walevi?
Nimesikia clous eti watajenga kisha watakusanya mipesa yao mpaka itakapo rudi ndo tuachiwe bandali sasa sijui itakua miaka mingapi?Kipindi fulani kwenye issue za negosition kama hizo unakuta timu kama wakina Dr. Chamuriho ambae aliongoza timu ya negosition mradi wa SGR, Ununuzi wa ndege pamoja Bwawa la Mwalimu Nyerere ila kwasasa anaonekana hafanyi kazi vizuri chini ya Rais Samia, pembeni ungemkuta Marehemu Mfugale, wingi ya kulia ungemkuta Engineer Kakoko then unakuta watu wa Tanroads, watu sheria, etc na hao wote walikuwepo kwenye ile team ya mwendazaje iliyosema kwa masharti haya hapana kama vipi ya kwetu ni haya hamtaki rudini mkajipange tena.
Lakini safari hii tarajia kukutana na wanasiasa na wanadiplomasia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani tunang'ang'ania neno mkataba bure. Mkataba utakuwepo tu pale sahihi zitakapowekwa. Kabla ya mkataba kunakuwa na mazungumzo. Baada ya mazungumzo, kunakuwa na makubaliano (memorandum of understanding kwa kifupi MoU). Yale makubaliano yakitiwa sahihi tu, ndiyo unapatikana mkataba.Who is Dr. Chamuriho....unaambiwa mkataba haukuwepo unaleta undezi hapa simama katika HOJA.