Waziri Mwambe: Mafuta ya kula yako ya kutosha upandaji bei umesababishwa na kupanda production cost huko nje!

Serekali ipi hiyo?Tokea lini serekali fake ikaangaika na matatizo ya wananchi?Si unaona Sukari na Saruji wamekaa kimya?Waziri husika alishasingizia kuwa mafuta yamepanda bei huko mamtoni,hukuona bandiko hilo hapa JF?Stay tuned the worst is yet to come!
 
Waziri wa viwanda na biashara mh Mwambe amesema kuna stock ya kutosha ya mafuta ya kula nchini hivyo wananchi wasiwe na wasiwasi wowote.

Mwambe amesema wanatafiti kujua kwanini wafanyabiashara wanapandisha bei lakini taarifa za awali ni huenda gharama za uzalishaji huko nje zimepanda.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Watatue tatizo na sio maneno mengi
 
Waziri wa viwanda na biashara mh Mwambe amesema kuna stock ya kutosha ya mafuta ya kula nchini hivyo wananchi wasiwe na wasiwasi wowote.

Mwambe amesema wanatafiti kujua kwanini wafanyabiashara wanapandisha bei lakini taarifa za awali ni huenda gharama za uzalishaji huko nje zimepanda.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!
Hehehehehe
 
Ile meli tuliyoambiwa inapakuwa mafuta na ikimaliza mambo yatakuwa safi iko wapi tena?.
 
Tuna bahati mbaya sana kama Taifa, nnafikiri iko laana inatutesa mahala na lazma tuombe sana dua, aina hii ya Viongozi ni laana kubwa sana kwa nchi hii, yaani huyu ni Waziri mwenye dhamana ndio anajibu majibu ya chekechea namna hii, Daah haya bwana
 
Hapa tumepigwa kamba😬😬😬 Juzi nimezunguka mtaa mzima mafuta hayapo yameisha yani hayapo kabisa.

What does this mean in comparison with increase in production cost?
 
Waziri wa viwanda na biashara mh Mwambe amesema kuna stock ya kutosha ya mafuta ya kula nchini hivyo wananchi wasiwe na wasiwasi wowote.

Mwambe amesema wanatafiti kujua kwanini wafanyabiashara wanapandisha bei lakini taarifa za awali ni huenda gharama za uzalishaji huko nje zimepanda.

Chanzo: ITV habari

Maendeleo hayana vyama!

Uchumi wa kati.
Wapinzani walitucherewesha
 
Back
Top Bottom