taratibu mjomba, CCM ipo makini - wahuni watadhibitiwa tu.Mradi wa kigamboni ulifia wapi, mradi wa kawe umefia wapi? Wamalize kwanza hii ndio warukie ule tusijefanywa kama Uganda kuchukuliwa Entebe
taratibu mjomba, CCM ipo makini - wahuni watadhibitiwa tu.Mradi wa kigamboni ulifia wapi, mradi wa kawe umefia wapi? Wamalize kwanza hii ndio warukie ule tusijefanywa kama Uganda kuchukuliwa Entebe
Hata Gesi ya Mtwara sio ya kwetu, wamepewa wachinaTuwe na imani na viongozi wetu.
Msimamo wa serikali ni Mradi kujengwa no matter what.Kuna kitu hakipo sawa na tena ambacho kinafichwa kuhusu huu mradi huu wa Bagamoyo Economic Zone ikiwemo na bandari ya Bagamoyo. Kwa nini watu wanapewa habari nusu nusu tena zenye kukinzana kuhusu huu mradi?
Waziri anazungumza hiki, spika anabadili msimamo na kusema hiki eti JPM alishauriwa vibaya juu yake, kamarade Mangula anasema katika ilani hakuna kitu kama ujenzi wa bandari bali kuna ujenzi wa gati!? Kila mtu ni msemaji na mwenye kusema lile alijualo yeye mwenyewe.
Serikali si ina msemaji wake rasmi, kwa nini asiliongelee jambo hili kwa kina ili wananchi tupate kujua msimamo wa serikali ni upi. Hii inatokana na ukweli kwamba Rais aliyepita alishatoa msimamo wa serikali kuhusu vipengele vingi vyenye masharti magumu katika mkataba kitu ambacho alilazimika kuachana nao.
Sasa hivyo vipengele vyenye masharti hayo vimebalishwa lini kiasi kwamba serikali sasa imeamua kuanza tena kuupigia upatu mradi huu! Ni lazima serikali ikachukua tahadhari kubwa kabla haijafanya maamuzi na kujiingiza katika miradi mikubwa na yenye kugharimu fedha nyingi.
Ni vyema serikali ikajifunza kutoka kwa nchi jirani ambayo imechukua mikopo yenye masharti magumu kiasi cha kushindwa kulipika na hatimaye mali za nchi zilizowekwa kama dhamana kuanza kutaifishwa. Nikiangalia kwa jicho la tatu, katika mradi huu ninaona "risk appetite" ya uwezaji huu mkubwa unasumwa na maslahi ya watu binafsi ambao watafaidika kiuchumi zaidi ya uwepo wa msukumo wenye kuzingatia uzalendo na maslahi mapana ya taifa.
Baniani mbaya kiatu chake dawa. JPM katika mradi huu daima utakumbukwa kwa uzalendo wako.
Uko sahihi.Ccm hawajawai kufanikiwa tuliwai oneshwa picha za kigamboni wanavyotaka iwe. Watu tukajaaa kununua maeneo kigamboni kumbe janja janja.
Mfano dege eco village
Wewe umeyaona wapi hayo masharti?
Sio lazima kujenga. Kwani bandari ziko ngapi? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Tusipojenga Bandari ya Bagamoyo tutakuwa wajinga na wapumbavu.
Kuna miradi ya ovyo imefanyika kama uwanja wa ndege wa Chato, ambapo pesa zilizotumika huko zingepelekwa kwenye miradi ya muhimu kama Bandari ya Bagamoyo
Bwashee dawa ya huu mradi ni Katiba Mpya ya Wananchi. Hivi huyo Waziri anajua anawakilisha watu zaidi ya 60m!Waziri wa Uwekezaji Mh Mwambe amesema kinachojengwa Bagamoyo siyo Bandari tu bali unajengwa mji wa kisasa utakaoungana na Dar es salaam ambao utakuwa na miradi mingi ikiwemo Viwanda Mahotel uwanja wa mpira, appartments na mengine mengi kwahiyo Bandari ya Bagamoyo ni sehemu ndogo tu ya huo mradi na TPA imepewa hekta 800 kati ya hekta 9800 za mradi.
Bandari ya Bsgamoyo ni ya TPA na jiwe la msingi lilishawekwa na Rais mstaafu mzee Kikwete.
Mwambe amesema hapakuwa na mkataba wowote ambao serikali imeshasaini na China ndio maana hayati Magufuli aliunda timu za majadiliano kabla ya kufikia hatua ya kusaini.
Mjadala uko mubashara ITV kipindi Meza Huru
My take; Kiukweli Bagamoyo ngoma bado mbichi.
Tumeshang'atwa na nyoka Mtwara, Buzwagi, Geita, North Mara nk
Mpumbavu huyoChato hata billion 10 hazikufika ila hamuoni billion 400 za covid mkopo wakaolipa watanganyika umepelekwa zanzibar kwa watu million 1.5 huku watanganyika million 60 wakiachiwa billion 700, akili huna
Tuwe na imani na viongozi wetu.
Mpumbavu kweli, ni mara Mia Chato Geita wanachangia mapato makubwa serikalini kupitia migodi ya dhahabu na mtanzania yeyote anaweza kumiliki ardhi GeitaMpumbavu huyo
Inasikitisha sana, kwan unafikiri nchi ina wanaharakati? Kuna wapumbavu tu ambao hujiita wanaharakatiMpumbavu kweli, ni mara Mia Chato Geita wanachangia mapato makubwa serikalini kupitia migodi ya dhahabu na mtanzania yeyote anaweza kumiliki ardhi Geita
Huyu mjambiani kachukua billion 400 kwenda zanzibar ambayo mtanganyika ni second citizen kule, ni wabaguzi na mtanzania hawezi kumiliki hata hatua 1 ya ardhi
Mkopo wote huu ni mtanganyika ataulipa sababu sio pesa za msaada na Zanzibar haiwezi kulipa huu mkopo wala mkopo haukutoka kwa zanzibar , lakini hili wana harakati hawalioni kama ni ufisadi mkubwa na kinyume cha mambo ya muungano watu million 1.5 wamepewa billion 400 wakati watanganyika million 60 wakiachiwa billion 700
Huyu ndio anazidi kutuchanganyaWaziri wa Uwekezaji Mh Mwambe amesema kinachojengwa Bagamoyo siyo Bandari tu bali unajengwa mji wa kisasa utakaoungana na Dar es salaam ambao utakuwa na miradi mingi ikiwemo Viwanda Mahotel uwanja wa mpira, appartments na mengine mengi kwahiyo Bandari ya Bagamoyo ni sehemu ndogo tu ya huo mradi na TPA imepewa hekta 800 kati ya hekta 9800 za mradi.
Bandari ya Bsgamoyo ni ya TPA na jiwe la msingi lilishawekwa na Rais mstaafu mzee Kikwete.
Mwambe amesema hapakuwa na mkataba wowote ambao serikali imeshasaini na China ndio maana hayati Magufuli aliunda timu za majadiliano kabla ya kufikia hatua ya kusaini.
Mjadala uko mubashara ITV kipindi Meza Huru
My take; Kiukweli Bagamoyo ngoma bado mbichi.
Urojo mtupu dada ni Mapesa mangapi yametimika huko Chato airport ? Kwa uwezo wako mdogo unayafamu?Tusipojenga Bandari ya Bagamoyo tutakuwa wajinga na wapumbavu.
Kuna miradi ya ovyo imefanyika kama uwanja wa ndege wa Chato, ambapo pesa zilizotumika huko zingepelekwa kwenye miradi ya muhimu kama Bandari ya Bagamoyo
Hahahaaaa........!Huyu ndio anazidi kutuchanganya
Kuna watu, watu wengi hawana akili timamu.Mpumbavu kweli, ni mara Mia Chato Geita wanachangia mapato makubwa serikalini kupitia migodi ya dhahabu na mtanzania yeyote anaweza kumiliki ardhi Geita
Huyu mjambiani kachukua billion 400 kwenda zanzibar ambayo mtanganyika ni second citizen kule, ni wabaguzi na mtanzania hawezi kumiliki hata hatua 1 ya ardhi
Mkopo wote huu ni mtanganyika ataulipa sababu sio pesa za msaada na Zanzibar haiwezi kulipa huu mkopo wala mkopo haukutoka kwa zanzibar , lakini hili wana harakati hawalioni kama ni ufisadi mkubwa na kinyume cha mambo ya muungano watu million 1.5 wamepewa billion 400 wakati watanganyika million 60 wakiachiwa billion 700
Inasikitisha sana, kwan unafikiri nchi ina wanaharakati? Kuna wapumbavu tu ambao hujiita wanaharakati
Ww unatafuta basha Kingsbury sio?Kuwa wewe mwanaharakati