wababayangu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2021
- 814
- 1,104
Mangura mzee wa chama amesema mladi huo haupo katika ilani ya chama hivyo kafunga mjadala.Waziri wa Uwekezaji Mh Mwambe amesema kinachojengwa Bagamoyo siyo Bandari tu bali unajengwa mji wa kisasa utakaoungana na Dar es salaam ambao utakuwa na miradi mingi ikiwemo Viwanda Mahotel uwanja wa mpira, appartments na mengine mengi kwahiyo Bandari ya Bagamoyo ni sehemu ndogo tu ya huo mradi na TPA imepewa hekta 800 kati ya hekta 9800 za mradi.
Bandari ya Bsgamoyo ni ya TPA na jiwe la msingi lilishawekwa na Rais mstaafu mzee Kikwete.
Mwambe amesema hapakuwa na mkataba wowote ambao serikali imeshasaini na China ndio maana hayati Magufuli aliunda timu za majadiliano kabla ya kufikia hatua ya kusaini.
Mjadala uko mubashara ITV kipindi Meza Huru
My take; Kiukweli Bagamoyo ngoma bado mbichi.