Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,196
- 25,515
Katika uzinduzi huo uliofanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es Salaam,walikuwepo pia Waziri wa Utumishi, Mhe. Angela Kairuki,Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU,Kamishna Valentino Mlowola na Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binaadamu,Mhe. Bahame Nyanduga.
Chanzo: ITV Habari