Zanika
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,316
- 752
Kumuuzia sio kosa. Hata Hollywood wasanii wengi Maarufu hulipwa kwa kazi ya kucheza movie na akishamaliza kazi hana haki ingine zaidi ya mikataba binafsi ya matangazo nk. Vivyo hivyo kwa Story writer's nao wakishauza Story kinachobaki kwake ni recognition na kwenye award km Movie imeshinda tuzo fulani.Uko sitaki kwenda sema natakaga kujua wanapodai kazi zao zinaibiwa na wakati hakimiliki wanamuuzia step uwa wanamanisha nini
Hapa issue ni kwa nini wamtapeli
Mzee wa watu na kazi nzuri nyingi kawafanyia?
Ninamfahamu yule aliyemalizia filamu ya Stven Kanumba anaitwa Kimario. Yeye naye slidhulumiwa akashauriwa na Mzee Majuto aachane na Filam kabla hajalewa umaarufu kwanj ataishia kutapeliwa na hao wakubwa wao, huyu jamaa sasa hivi hajutii ushauri aluopewa ni tajiri mkubwa na baadhi ya waliomtapeli wanakopa kwake.