Sabih kilimo
Member
- Feb 10, 2019
- 52
- 29
Poor thinking capacityCorona si imeisha sasa wanaogopa Nini?Pimbi kila harakati yake huwa haifiki mwisho
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Poor thinking capacityCorona si imeisha sasa wanaogopa Nini?Pimbi kila harakati yake huwa haifiki mwisho
Sent using Jamii Forums mobile app
maajabu yapi ndugu yangu, Unajua Simba afunge mechi 3 na droo 1 ubingwa tayariHuu ndio muda wa kuonyesha maajabu sisi vijana wa Club De Athletic Internationale le Deportivo Dar es Salaam Young Africans.
jibu hoja tumetangaziwa hali ni shwari j2 tunapiga kelele kuiaibisha corona
wazo zuri mashabiki wasio na Azam wacheki TBCWaziri Mwakyembe uliomba Azam kuipa haki au kuiunganisha TBC kuonyesha mechi za ligi, vipi Azam wameshakujibu ombi lako?
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua ni ngumu kukubali, nilitaka kujua tu jibu lilikuwaje....Achana na wanasiasa hao!! Hiyo ni biashara azam hawezi kukubali kamwe!!!
Tunahitaji akili kubwa kama hizi.Hivi mipango yooote hiyo inapofanyika wanaishirikisha TFF na bodi ya ligi?
Kama wanaishirikisha , kwann wizara ndiyo itangaze na siyo TFF au bodi ya ligi?
Hivi kwenye michezo yote watakuwa wao ndiyo WARATIBU ichezejwe! Au ndo sehemu ya kuosha.
Hivi jiulize watazamaji 10 ndo nn? Eti wale wa vikundi vya ushangiliaji! Viwanja ni vikubwa cha msingi ni kuzingatia ukaaji.
Ticket ziuzwe kwa no ikifika idadi ambayo wataalam wa afya wanaamini ndiyo sahihi ticket zinaachwa kuuzwa.
Hiyo ingepunguza msongamano kwenye vibanda umiza lakini ingewapa wengi fursa ya kuangalia mpira.wazo zuri mashabiki wasio na Azam wacheki TBC
Mkuu haukuambiwa hali ni shwari bali umeambiwa maambukizi yamepungua ni vyema kuendelea kuchukua tahadhari zaid akili zenu huwa mmeziegemeza kwenye opposite ndio mana kila kitu mnakijengea hojajibu hoja tumetangaziwa hali ni shwari j2 tunapiga kelele kuiaibisha corona
Tumia sana brain yako uliyo barikiwa kufikiri sio kila unachoambiwa na chadema kukibeba kama ulivyo mwisho wanamidharau wanamiita magogoNdio maneno mliyokaririshwa mkiwa pale Lumumba sishangai kwakuwa hata mabos wenu lugha hio inawapiga chenga
Sent using Jamii Forums mobile app