Waziri Mulugo: Tanzania ilitokana na muungano wa visiwa vya Pemba na Zimbabwe

Labda its a slippery of the tongue but personally ni mawaziri wachache wa JK ambao ninawakubali ambao hawafiki watano!
As most are just minister by accident
 
Ni kumshikia kidedea aondoke kwenye ofisi nyeti kama hiyo, JK ampangie kazi nyingine anatuaibisha sana. Hafai kwenye hiyo nafasi. Hope UWT wanaiona hiyo aibu, na watasaidia kufikisha ujumbe!!
Katika hali ya kawaida ilibidi waziri mwenyewe asimame na kujitetea mbele ya watanzania ni nini kilichomsibu hata aseme haya. halafu sijaelewa hata hilo neno indian ocean hapo limeingiaje. yaani ni full mchanganyo. Kwa ujumla Mulugo uwezo wake unatia shaka sana. Hata kwenye kujieleza tu kama anavyosikika hapo inaonekana ni shida.
 
Labda its a slippery of the tongue but personally ni mawaziri wachache wa JK ambao ninawakubali ambao hawafiki watano!
As most are just minister by accident
Mmmh, sijui! Lakini kwenye suala zima la presentation kwa kweli nadhani yupo weak, hata kama ingekuwa ni ya kiswahili. Ila kwenye actions anajitahidi. Huyu ni style ya akina Kawawa. Ni mzuri kwa utekelezaji lakini siyo presentation.
 
Labda sio MTANZANIA!!!!!!!!!!
Duh, hii nayo kali. Akishindwa kuitambulisha Tanzania basi atakuwa si mtanzania? For sure kuna waMozambique na wazambia wengi sana wanaweza kuitambulisha Tanzania vema sana. Maana jiografia haiwahusu watanzania peke yao. Sasa sijui kwa speech hii atasimamaje kuwakolomea walimu wabovu ilihali yeye mwenyewe mbovu!
 
hii haingii akilini hata kidogo. waziri tena mwenyedhamana ya elimu, Tanzanians, where are we heading to? Tafakari Chukua hatua Haki elimu. Yaani nimeiskiliza hii hotuba anasoma kwa kutetemeka ile mbaya. Hapa akipewa mkataba kusign sizani kama atausoma kabla ya kusign. Shame on him.
 
Katika hali ya kawaida ilibidi waziri mwenyewe asimame na kujitetea mbele ya watanzania ni nini kilichomsibu hata aseme haya. halafu sijaelewa hata hilo neno indian ocean hapo limeingiaje. yaani ni full mchanganyo. Kwa ujumla Mulugo uwezo wake unatia shaka sana. Hata kwenye kujieleza tu kama anavyosikika hapo inaonekana ni shida.
Kuoneana aibu ndiyo sifa zetu, jitu linatutia hasara lakini bado tunasema, "tunamwamini anaweza" atimue zake, sijui kama usalama wa taifa wanafanya kazi yao inavyotakiwa au nao hawana viwango vya kufanyia kazi. Pengine wao wamejikita kwenye kupambana na threat wa nchi wakati hata huyu ni mhujumu elimu.
 
Ingekuwa nchi ya wengine huyu jamaa angeshuka uwanja wa ndege wakati wa kurudi na kwenda zake home 4good. Lakini kwa sababu hii ni nchi ya DHAIFU jamaa atapeta tu kama kawa !
 
haaa haahhh ahhhaaa haaaaaah, full kioja, na pale pameandikwa "Zanzibar" kabisa , ilitakiwa iwe Unguja.
utakuata hapo akili yake ilikuwa inawaza nyumba ndigo tu.
 
Nadhani ziara za nje wawe wanampa kamishna wa elimu Prof Bhalalusesa, huyu mama jembe kuliko kilaza huyu
 
huyu anatakiwa apate kozi ya presentation skills
kweli bado tuna safari ndefu sana, masikini elimu yetu?! kama huyu ndo waziri wake vipi mwl aliyeko nyamidaho kule kigoma, au namanyere kule sumbawanga au kisaki kule mororgoro?
Poor me
 
kabebwa na riz kuwa hapo, watu wa mbeya wanajua, mbona ni kituko siku nyingi, rafiki zake hawakuamini alivyoteuliwa...
 
Du hii kali, na bado tusubiri mawaziri toka shule za kata ifikapo 2050.....

Tanzania nila Elimu inawezekana...
 
Aibu yao aibu yetuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu. Mimi leo naomba nisichangie naona aibu utafikiri nilikuwepo kwenye ukumbi. Yani kweli ametamka neno Zimbabwe badala ya Zbar. Hii hotuba hakutoka nayo bongo ameandaliwa na wahuni south huko huko. Aibu du
 
mimi sijaiona hiyo presentation kama kweli hii kali Ina maana hakusema hata Correction Please? Pole Mheshimiwa huna Personal Assistant aliye SHARP?
 
Back
Top Bottom