Waziri Mulamula: Tanzania kuanza kununua magari Rwanda

niko na classfied information, hii kiwada kilikuwa kijengwa tz, lakini wawekezaji wakaletewa lots of REDTAPE, na ndio wakahamia rwanda, pale rwanda kufungua kamupuni na kufungua account ya banki ya hio kamupuni yako ni kaa masaa 24 pekee, na kila kitu kinafanyika online, jaribu kufungua kamupuni au kuregister kamupuni hapa kwetu, utapata maumivu makali kuliko mama ambae anajifungua,tz tuna kila kitu, lakini underccm we are heading nowhere, sasa nani atawekeza katika taifa ambalo inamubadikia kesi ya ugaidi kiongi wa upizani, for sure tz will remain poor under samia
Nchi ya Rwanda, Wanyarwanda wenyewe pamoja na Rais Paul Kagame si Watu wenye Kupoteza muda na mambo ya Kipuuzi na kuendekeza Uswahili Uswahili bali ni Wapambanaji hasa, Wazalendo wa kweli na wana Malengo makubwa na ya mbali mno ambayo nashukuru baadhi tunaanza kuona Matunda yake.
 
3 August 2021
Kigali , Rwanda

KIPINDI MAALUM : Uchambuzi wa ziara ya Rais Samia S. Hassan wa Tanzania aliyoifanya Rwanda

Rwanda televisheni imetayarisha kipindi maalum ktk lugha ya Kiswahili kuhusu mahusiano ya kibiashara baina ya Tanzania na Rwanda , na uhusiano huo utazidi kuimarika baada ya ziara ya siku mbili ya Rais Samia Suluhu Hassan mwezi huu August 2021 nchini Rwanda.
Source : RwandaTV
c.c johnthebaptist
 
Angalia "upeo" wa wateuliwa wa Rais kuanzia maDED wa juzi alafu ujiulize tena swali lako!!
Huyu ni Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya.

Anaenda kuwa kiongozi Mkuu wa Idara zaidi ya 18 zenye Watumishi wenye elimu zao kubwakubwa na Uzoefu.

Sijui tunaelekea wapi
 
Huyu ni Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya.

Anaenda kuwa kiongozi Mkuu wa Idara zaidi ya 18 zenye Watumishi wenye elimu zao kubwakubwa na Uzoefu.

Sijui tunaelekea wapi
SSH ni wa kuhurumiwa tu. na hapo ndio Watanzania wameingia kingi.
 
Wacha story mingi,una uwezo kwanza wa kununua gari la 0km?Komaa na mjapan used.
Kwani hilo la rwanda jipya ni milioni moja au mbil au 20M? Bei itakuwa juu kuliko jipya la japan. Kumbuka everything used for manufacturing the car is imported plus the technology!!!!
 
Hatuna shida ya kununua magari kutoka Rwanda, hata kutoka Japan na kwingineko bei ni ndogo tunaweza tatizo kodi za ajabu bandarini.

Labda tuanzisha kiwanda hapa
Subilieni after 10 years ndio raia mtaweza kununua hayo magari as used,maana brand new watanunua serkali na NGOs.
 
Back
Top Bottom