real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Waziri wa Ufugaji na Uvuvi Luhaga Mpina amesema serikali ilichoma moto vifaranga 6000 kutoka Kenya ili kuzuia magonjwa ya ndege na kuteketeza mtaji wa aliyevileta ili kama kuna njia nyingine alizokuwa anatumia kuingiza vifaranga kutoka nje ya nchi hawezi kurudia tena
Na amesema askari waliohusika kamawasingechoma moto vifaranga vile, basi angewafukuza wote
Na amesema askari waliohusika kamawasingechoma moto vifaranga vile, basi angewafukuza wote