johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,615
- 141,439
Kutokana na ufisadi huo ambapo wajumbe wa bodi walipanga kujilipa sh 20 milioni kama kiinua mgongo, Waziri Mpina ameiagiza manispaa ya Ilala iliyo chini ya Chadema (kisiasa) kuivunjilia mbali bodi hiyo mara moja. Pia ameitaka manispaa hiyo ya Ilala kuifyekelea mbali menejimenti ya soko hilo la ferry.
Source Ayo tv!
Source Ayo tv!