Hazina
Member
- Jun 4, 2018
- 7
- 63
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), amewateua wajumbe wawili watakaoiwakilisha Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Madini ya Twiga (Twiga Minerals Corporation Limited).
Wajumbe walioteuliwa ni
Kampuni ya Madini ya Twiga inasimamia migodi mitatu ya Buzwagi, North Mara na Bulyanhulu ambapo Barrick Gold inamiliki asilimia 84 ya hisa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inamiliki hisa asilimia 16.
Uteuzi wa wajumbe hao unaanza leo tarehe 22 Machi 2020
Wajumbe walioteuliwa ni
- Bw. Casmir Sumba Kyuki
- Bw. Michael Jonathan Kambi
Kampuni ya Madini ya Twiga inasimamia migodi mitatu ya Buzwagi, North Mara na Bulyanhulu ambapo Barrick Gold inamiliki asilimia 84 ya hisa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inamiliki hisa asilimia 16.
Uteuzi wa wajumbe hao unaanza leo tarehe 22 Machi 2020