Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,687
- 15,105
Kama waliochanjwa wakachomwa na busta juu bado wanaambukizwa corona kazi ya chanjo ni nini? Ndiyo swali la Gwajima.
Watanzania zaidi ya millioni 50 hawajachanja lakini Corona Omicroni imewaruka na kwenda kumshambulia Zito Kabwe aliyechanjwa.
Watetea chanjo ni wajinga kabisa ,mbona chanjo ya Ndui inatuzuia tusipate ndui kwa nini hii chanjo ya corona inashindwa kutuzuia tusipate corona?
Kwa hiyo hizi chanjo za corona ni sawa na malimau na tangawizi tu?
Sasa kwa nini baadhi ya Wataalam wanaitaja kuwa ni chanjo wakati inakosa sifa za kuitwa chanjo.?Kwa nini isiitwe dawa ya kuimarisha kinga ya mwili dhidi ya Covid-19 hadi pale itakapothibitika bila shaka kwamba chanjo husika zinamkinga mchanjwa dhidi ya Covid-19 kwa asilimia 99.Tumeshudia baadhi wa Watu waliopata chanjo za Covid-19 kwenye inchi mbalimbali wakijitangaza kuwa wameungua Covid-19 pia baadhi ya nchi ambazo zimechanja asilimia kubwa ya watu wake zimeripoti maambukizi mapya kwa baadhi ya Laia wake ambao tayari wamechanjwa unajua suala hili linaendelea kuzua maswali juu ya hizi zinazoitwa chanjo za Covid-19.Ni wakati wa mwafaka kwa Wataalam husika wakati wakiendelea na Kampeni za inayoitwa kinga za Covid-19 wafanye utafiti wa hali ya Covid-19 kwa sasa kwa nchi ambazo asilimia kubwa ya watu wake wamechanjwa dhidi ya nchi ambazo asilimia kubwa ya watu wake hawajachanjwa na kwa lengo la kuona wapi wako kwenye status nzuri dhidi ya ugonjwa husika na kuja na majibu kwa maswali yatakayotokana na utafiti husika.
Watanzania zaidi ya millioni 50 hawajachanja lakini Corona Omicroni imewaruka na kwenda kumshambulia Zito Kabwe aliyechanjwa.
Watetea chanjo ni wajinga kabisa ,mbona chanjo ya Ndui inatuzuia tusipate ndui kwa nini hii chanjo ya corona inashindwa kutuzuia tusipate corona?
Kwa hiyo hizi chanjo za corona ni sawa na malimau na tangawizi tu?
Sasa kwa nini baadhi ya Wataalam wanaitaja kuwa ni chanjo wakati inakosa sifa za kuitwa chanjo.?Kwa nini isiitwe dawa ya kuimarisha kinga ya mwili dhidi ya Covid-19 hadi pale itakapothibitika bila shaka kwamba chanjo husika zinamkinga mchanjwa dhidi ya Covid-19 kwa asilimia 99.Tumeshudia baadhi wa Watu waliopata chanjo za Covid-19 kwenye inchi mbalimbali wakijitangaza kuwa wameungua Covid-19 pia baadhi ya nchi ambazo zimechanja asilimia kubwa ya watu wake zimeripoti maambukizi mapya kwa baadhi ya Laia wake ambao tayari wamechanjwa unajua suala hili linaendelea kuzua maswali juu ya hizi zinazoitwa chanjo za Covid-19.Ni wakati wa mwafaka kwa Wataalam husika wakati wakiendelea na Kampeni za inayoitwa kinga za Covid-19 wafanye utafiti wa hali ya Covid-19 kwa sasa kwa nchi ambazo asilimia kubwa ya watu wake wamechanjwa dhidi ya nchi ambazo asilimia kubwa ya watu wake hawajachanjwa na kwa lengo la kuona wapi wako kwenye status nzuri dhidi ya ugonjwa husika na kuja na majibu kwa maswali yatakayotokana na utafiti husika.