Antar bin Shaddad
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 202
- 101
hiyo ada haijakaa sawa ila kwa mujibu wa dira waziri anayesemwa na lazaro nyalandu ambaye ameishi sana marekani huo bwana baada ya kumaliza kidato cha sita pale ilboru sec miaka ya tisini na kupiga ziro alikwenda marekani kwa mgongo wa madhehebu ya dini (KKKT) na kuishi marekani hadi miaka ya 2000 aliporudi na kuogobea ubunge kwao