Hii si hati ya uraia, bali ni kitambulisho cha mkazi wa kudumu nchini Marekani (green card) mwenye kupata haki za kijamii zote isipokuwa kupiga na kupigiwa kura katika uchaguzi wa viongozi kisiasa. Hii ni hati ya ukazi tu si uraia. Na mwenye hati hii tu hawezi kupata passport ya wamarekani mpaka apate naturalization.
Green card hazipatikani kirahisi hivyo. Kwangu mimi sioni shida sana waziri kuwa na hiyo resident permit, swali je ali-declare yote haya kabla ya a) kugembea ubungu na b) tume ya maadali wanasemaje?