Ndugu wanajukwaa,
Nimeshtushwa na taarifa iliyochapwa na gazeti la Dira la leo juu ya waziri kijana wa serikali ya CCM kuwa ana uraia wa Marekani na mpaka nakwenda mitamboni hapa jamvini bado serikali ya JK haijazungumza kitu kuhusu tuhuma hizi, je maana yake ni kweli? na kama kweli JK anangoja nini? je kwanini asiachie ngazi haraka kwa jinai ya kuteua raia wa Marekani kuwa waziri kwenye nchi yetu?....
If Not Me Who? And If Not Now When?