Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,000
- 9,861
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema watu wenye miaka 45 na kuendelea ndio ambao wanaongoza kwa kupata #COVID19.
Amekumbusha umuhimu wa kutumia njia zote kupambana na maambukizi ikiwemo kufanya mazoezi na kula vizuri.
Aidha amegusia utaratibu wa kujifukiza ambao ulitumika kama mawimbi yaliyotangulia.