jsenyinah
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 249
- 338
Ameyasema hayo kwenye mji mdogo wa Shelui Wilayani Iramba Mkoani Singida kwenye Baraza la Maulid.
Amesema ndani ya mwaka mmoja,watumishi wa umma wameanza kufanya kazi iliyotukuka na yenye maadili na kwamba,Serikali ya awamu ya 5 haina haja ya kumwonea mtu yeyote.
Akasisitiza,asiyefanya kazi na asile.
Amesema ndani ya mwaka mmoja,watumishi wa umma wameanza kufanya kazi iliyotukuka na yenye maadili na kwamba,Serikali ya awamu ya 5 haina haja ya kumwonea mtu yeyote.
Akasisitiza,asiyefanya kazi na asile.