mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Kwa teknologia ya sasa, iHivi Majaliwa anajua idadi ya watu duniani ni around 8b? anamaanisha zaidi ya 50% walifuatilia? Au alimaanisha 39milioni?
Hiyo ni kweli kabisa!! Ndiyo maana hakuna chombo cha magharibi kilichokanusha! Hii figure hakuibuni Waziri mkuu lakini amenukuu vyombo vya magharibi vilivyokuwa vinafuatilia. Kwa teknologia ya sasa, hilo ni Jambo dogo Sana. Magufuli alikuwa maarufu Sana duniani! Japo wazungu hawakuwa tayari kukiri hivyo!! Walikuwa wanashangaa mwafrika kuwa na msimamo thabiti na wa kweli kinyume na Dunia yote!Mmmhh uongo wa kiwango cha SGR ,yaani amevunja mara nne rekodi ya Mohamad Ali alifatiliwa na idadi ya watu bilioni 1.