Waziri Mkuu: Watu Bilioni 3.9 Duniani jana walifuatilia Shughuli za Kumuaga Hayati Magufuli

kuna watu wanashindwa kuelewa anaposema billion 3.9 wamefuatilia matangazo ipo hivi BBC wanao idadi ya watu wanaosikiliza matangazo yao,DW na redio zingine. Ukianza kujumlisha idadi ya watu wanaofuatilia na kusikiliza BBC, DW, VOA Na vyombo vingine vya habari dunia waliotangaza habari ya kifo inaleta idadi hiyo
Na waelewe hiyo approach imekuwa ikitumika muda mrefu kwa events mbalimbali, siyo kwa Magufuli tu.
 
Siku ZOTE mnaeneza propaganda humu kwamba kenya ni adui zenu wanatumia na mabeberu kuwahujumu Leo mnataka kutumia chanzo Cha habari Cha mkenya?
Duh akili za BAVICHA hizi!
Ndiyo mana makamanda wenzenu wanaanzisha thread za uongo kila wakati sababu wanajua watawaokota tu. Kwa hiyo yule kamanda aliyanzisha thread kwamba source ni mkenya ameshateka akili zenu!!
Soma huu uzi mbona source zimeonyeshwa vizuri tu, tena zaidi ya moja, na zote siyo za Afrika!
 
Duh akili za BAVICHA hizi!
Ndiyo mana makamanda wenzenu wanaanzisha thread za uongo kila wakati sababu wanajua watawaokota tu. Kwa hiyo yule kamanda aliyanzisha thread kwamba source ni mkenya ameshateka akili zenu!!
Soma huu uzi mbona source zimeonyeshwa vizuri tu, tena zaidi ya moja, na zote siyo za Afrika!
Source ni mbili tu zilizoonyeshwa kwenye hii nyuzi na zote ni twitter kutoka kwenye vyanzo ambavyo havijawahi kutoa takwimu zozote zile.
 
Tumeshaenda na kuna uzi humu jamii forums unamchambua huyo mkenya mwenye hiyo akaunti. Akaunti inamilikiwa na mtu mmoja tu followers 400+ not verified haina taarifa zozote za maana kwenye information technology bado unataka tuiamini?
Duh, nyie mateka wa BAVICHA hakuna namna ya kuwasaidia. Kwa hiyo ulishatekwa na Yule kamanda mwenzio? Jiongeze basi hata akitunga uongo ukitumia akili kidogo tu utagundua. Hata kwa huyo Jamaa aliyem quote mkenya, mgeenda mbali zaidi ku verify source alizozionyesha, mgeona ukweli.
 
Duh, nyie mateka wa BAVICHA hakuna namna ya kuwasaidia. Kwa hiyo ulishatekwa na Yule kamanda mwenzio? Jiongeze basi hata akitunga uongo ukitumia akili kidogo tu utagundua. Hata kwa huyo Jamaa aliyem quote mkenya, mgeenda mbali zaidi ku verify source alizozionyesha, mgeona ukweli.
 
Akiwa anatoa maelezo kabla ya kumkaribisha Rais wa Zanzibar, Waziri Mkuu amesema kwa taarifa walizonazo jana wakati wa shughuli za kumuaga Hayati JPM watu waliofuatilia tukio hilo duniani ni 3.9 bilioni kama siyo 4 bilioni.

Na hivyo amevishushukuru sana vyombo vya habari kwa kurusha matangazo ya moja kwa moja.

“Tunavishukuru vyombo vya habari vimekuwa na sisi toka siku ya kwanza kuwahabarisha Watanzania, hata tukio hili mnalirusha duniani kote. Mpaka jana jioni tunazo taarifa watu waliofuatilia tukio la kuaga kitaifa jana Dodoma ni zaidi ya watu bilioni 3.9” - Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
Hawa jamaa kwakuwa wanaujua uwezo wa kufiri kwa % kubwa ya wananchi basi wanaamua tu kuwalisha matango pori dah noma sana, hii ni kamba ya mwaka😂😂😂
 
Bilioni 3.9? mmmh!!

Basi hii ni idadi kubwa sana ya wafuatiliaji/watazamaji kuwahi kutokea duniani ikiipiku ile ya mashindano ya Olimpiki ya London (2012) na Rio (2016) ambapo ndio matukio yaliyotazamwa zaidi kwa wakati wote kwa idadi ya watu 3.6 bilioni duniani kote...

Ikiweza kuthibitika basi itaiingizwa kwenye kitabu cha kumbukumbu za maajabu/zenye rekodi cha Guinness

List of most-watched television broadcasts - Wikipedia
 
Akiwa anatoa maelezo kabla ya kumkaribisha Rais wa Zanzibar, Waziri Mkuu amesema kwa taarifa walizonazo jana wakati wa shughuli za kumuaga Hayati JPM watu waliofuatilia tukio hilo duniani ni 3.9 bilioni kama siyo 4 bilioni.

Na hivyo amevishushukuru sana vyombo vya habari kwa kurusha matangazo ya moja kwa moja.

“Tunavishukuru vyombo vya habari vimekuwa na sisi toka siku ya kwanza kuwahabarisha Watanzania, hata tukio hili mnalirusha duniani kote. Mpaka jana jioni tunazo taarifa watu waliofuatilia tukio la kuaga kitaifa jana Dodoma ni zaidi ya watu bilioni 3.9”
- Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
Ukiidanganya kwenye ugonjwa, lolote usemalo kea sasa haliaminiki.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom