Mwinyi kwa kumtoa gerezani mhalifu kapteni Aziz kisa familia yake inateseka na kuwauzia waarabu mbuga zetu kinyemela, Mkapa kwa kujimilikisha Kiwira...Kwa makosa gani mkuu?
Mwinyi kwa kumtoa gerezani mhalifu kapteni Aziz kisa familia yake inateseka na kuwauzia waarabu mbuga zetu kinyemela, Mkapa kwa kujimilikisha Kiwira...Kwa makosa gani mkuu?
Kinachonifurahisha ni namna mikakati ya wenzetu inavyofanikiwa,
Wakiamua kukuua kisiasa unakufa kweli na unakosa kabisa sifa ya kuwa kiongozi, kumbuka ya Mfaransa Mr Khan,
Sasa kwetu mbinu ni dhaifu sana, hakuna mikakati stahiki ya vita vya kisiasa!
haya mambo yatafika lini huku kwetu?