Hofu itoke wapi wakati anatenda haki
Mkuu kwa wenzetu kupanda Baiskel siyo kubana matumizi ni sehemu ya kufanya mazoezi. Hata mayor wa London anakwenda kazini na baiskeli tena kila siku
Hii sio Kenya naona Cadillac hapo za kutosha na hizo gari za mbele zina wazungu. Labda kama mkuu mzizi mkavu ameweka picha ili tujaribu kupata picha y misafara ya viongozi
Ngoja tumsubiri mkuu MziziMkavu atatujibu mkuuAta mimi nimeona hivyo hivyo sasa sijui kenya wanakuwa na drivers ma-white people
Hizo ni number plates za Uholanzi na huo msafara ulikuwa ni msafara wa maiti za wahanga wa ndege iliyotunguliwa na bomu la Urusi kwenye anga ya Ukraine. Kama ulivyosema, magari mengi hapo yana msalaba. MziziMkavu keshavuta bange zake sasa kaamua kutusanif.Acheni hizo, mbona hayo magari Ni msafara wa mazishi tena marekani ndio wanaendesha kulia na hizo plates Ni za NY