Waziri Mkuu Wa Tanzania Mhesh Kassimu Majaliwa Ashiriki Swala Ya Ijumaa Leo Ijumaa Kwenye Msikiti wa Gadaffi

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,193
4,660
Mhesh Majaliwa ameswalia kwenye Msikiti Mpya ukiojengwa maeneo ya Chamwino Jijini Dodoma
 

Attachments

  • FB_IMG_16058887115616384.jpg
    FB_IMG_16058887115616384.jpg
    13.3 KB · Views: 1
  • FB_IMG_16058887073497769.jpg
    FB_IMG_16058887073497769.jpg
    23.2 KB · Views: 1
  • FB_IMG_16058887024729063.jpg
    FB_IMG_16058887024729063.jpg
    16 KB · Views: 1
Yale yale aliyosema Jaji Warioba viongozi ndio media zinawapa promo kila wanachofanya hadi wakienda chooni wana report, lakini wananchi Wamefanya nini na wanataka nini media ziko kimya, media siyo tena sehemu ya kuibua mijadala na mambo mapya katika Jamii.
 
Yale yale aliyosema Jaji Warioba viongozi ndio media zinawapa promo kila wanachofanya hadi wakienda chooni wana report, lakini wananchi Wamefanya nini na wanataka nini media ziko kimya, media siyo tena sehemu ya kuibua mijadala na mambo mapya katika Jamii.
We kajisaidie getini ikulu km hujatolewa kwenye media
 
Tumerithi kutoka kwao

Wakati wao habari zote zilikuwa kuhusu wao na zikitoka kwa wananchi ni zile waliowapanga kuwasifia!


Unajua watu walikuwa wanatumwa kuandika mashairi wakimaliza chini inaandikwa Mwandishi wa yale Mashairi ni Rais wa Jamhuri wakati Mwandishi mwenyewe ni Marehemu Kada wa Tanu na kamanda wa Vijana Marehemu Sheikh Rajab Diwani
Yale yale aliyosema Jaji Warioba viongozi ndio media zinawapa promo kila wanachofanya hadi wakienda chooni wana report, lakini wananchi Wamefanya nini na wanataka nini media ziko kimya, media siyo tena sehemu ya kuibua mijadala na mambo mapya katika Jamii.
 
Tumerithi kutoka kwao

Wakati wao habari zote zilikuwa kuhusu wao na zikitoka kwa wananchi ni zile waliowapanga kuwasifia!


Unajua watu walikuwa wanatumwa kuandika mashairi wakimaliza chini inaandikwa Mwandishi wa yale Mashairi ni Rais wa Jamhuri wakati Mwandishi mwenyewe ni Marehemu Kada wa Tanu na kamanda wa Vijana Marehemu Sheikh Rajab Diwani
Duh yamekua hayo??

Cc Mohamed Said
 
Mhesh Majaliwa ameswalia kwenye Msikiti wa Gadaffi uliopo Chamwino Jijini Dodoma
Acha uongo! Msikiti wa Ghadafi haupo Chamwino. Pia mara zote amekuwa akiswali hapo sijui inakuwaje hili pia lianzishiwe thread unless unamaanisha ameswali msikiti mpya uliopo Chamwino ikulu ule uliojengwa kwa harambee ya JPM
 
Acha uongo! Msikiti wa Ghadafi haupo Chamwino. Pia mara zote amekuwa akiswali hapo sijui inakuwaje hili pia lianzishiwe thread unless unamaanisha ameswali msikiti mpya uliopo Chamwino ikulu ule uliojengwa kwa harambee ya JPM
Sawasawa nimerekebisha
 
Acha uongo! Msikiti wa Ghadafi haupo Chamwino. Pia mara zote amekuwa akiswali hapo sijui inakuwaje hili pia lianzishiwe thread unless unamaanisha ameswali msikiti mpya uliopo Chamwino ikulu ule uliojengwa kwa harambee ya JPM
Sawasawa nimerekebisha
 
Dunia ina vituko!Unashiriki katika mpango mzima wa kuiba kura za urais na kuteka wagombea wa ubunge kwenye jimbo lako pamoja na kuwatisha ili uonekane umepita bila kupingwa na kwa hiyo unapendwa sana halafu unaendelea kuingia kuswali misikitini kama kawaida!
 
Back
Top Bottom