Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
List of Prime Ministers of Tanzania - Wikipedia, the free encyclopedia
Nyerere hajawahi kua Waziri Mkuu wa Tanzania
Nyerere hajawahi kua Waziri Mkuu wa Tanzania
Somo la uraia darasa la kwanza.. . Alikuwa Nyerere
Huyu nae eti ni kada wa ccm kweli ccm imejaa vilaza wewe umesoma wp? Hilo swali hata hapo lumumba umeshindwa kuuliza? Unaleta jf maswali ya darasa la nneNaomba msaada kujua waziri mkuu wa kwanza wa Tanzania alikuwa nani?
Usimbeze kauliza swali very tricky pengine bila kujuwa. Angalia majibu aliyopewa ndio utaelewaHuyu nae eti ni kada wa ccm kweli ccm imejaa vilaza wewe umesoma wp? Hilo swali hata hapo lumumba umeshindwa kuuliza? Unaleta jf maswali ya darasa la nne
Inaonekana hausomi hizo 'komenti' wanaozitoa wanajamvi.Naomba msaada kujua waziri mkuu wa kwanza wa Tanzania alikuwa nani?
Nilikuwa Mimi.Naomba msaada kujua waziri mkuu wa kwanza wa Tanzania alikuwa nani?
Hawa wanachofahamu ni kuolewa tuu huko Lamu na Mombasa.Huyu nae eti ni kada wa ccm kweli ccm imejaa vilaza wewe umesoma wp? Hilo swali hata hapo lumumba umeshindwa kuuliza? Unaleta jf maswali ya darasa la nne
Hahahaaa we jamaaa umeua kabisaHawa wanachofahamu ni kuolewa tuu huko Lamu na Mombasa.