Waziri Mkuu wa Kenya apata mshahara maradufu kumzidi rais wa Marekani (Obama)

Labda kwa kupitia mishahara hii inaweza kuwasaidia wasiwe na tamaa ya kuwa mafisadi kupora rasilimali za taifa
 
Jama WanaJF! Mwenye hata tetesi ya hawa mafisadi wa TZ a2juze angalau maana nafikiri ndiyo wa kwanza ama wa pili. Hasa huyo JK& PM wake.
 
Kibaki je? Halafu mbona figure haionyeshi kwamba anapata maradufu ?? (maradufu = 2X)
 
Pesa bana halafu utasikia Raila anapiga dili apate pay zaidi. Jamani kwani tutaenda nazo mbinguni?
 
Usijeshangaa ukifanya combination ya mapato yote ya JK labda naye anacheza humo kwenye top 10.
 
Ivi na jakaya je?[/QUOTE

Inawezekana JK analipwa mshahara mkubwa ila si unajua kuwa viongozi wa TZ huwa hawapendi kutangaza kipato chao,
au umesahau kipindi kile Dr Slaa alipoamua kutangaza mshahara wake bungeni kila mbunge alitaka kummeza na kusema amekosea kuwa ni kwanini watz wajue kipato chao,,,
 
At least for the kenyan its known to the public how much Is kenyan PM siphoning. Informtion is knowledge....

So can u allocate your callories to get us information about the Salary and entittled benefits of our honorable PM and even President .?

  • Do u know how much (financially) is allocated for Retired Mkapa, Mwinyi , Msuya Wariob, Lowasa?
  • Do u know how much (finanacially) is allacted for family of Nyerere, Sokoine. Is it a right or its a favour?
Waiting to learn from your critical and analytical comment



Its difficult to know about these Tanzanian Leaders, they are so secret b'se they know how much they steal our money,,,
 
Si wengi wanaofahamu kuwa kwa sasa wanasiasa wa Kenya wanalipwa mishahara minono kuliko nchi nyingi duniani. Bunge la Kenya liliridhia nyongeza ya mishahara ya wabunge na kuidhinisha kila mbunge kulipwa mshahara wa dola 126,000 kwa mwaka, sawa na Sh. 201 milioni au Sh. 16.8 milioni kwa mwezi.

Kiasi hicho cha mshahara, kina maana ya kiwango sawa na mshahara wa mbunge wa Marekani.
Bunge hilohilo ndilo lilipitisha mshahara wa Waziri Mkuu ambao unazidi ule anaolipwa Obama na Waziri Mkuu wa Uingereza. Aidha, wabunge wa Kenya, wamo katika harakati za kutaka mishahara yao isikatwe kodi.
Fikiria: Wakati kipato cha mwananchi wa Marekani kwa wastani ni dola 50,000 kwa mwaka (Sh. 80 milioni), kipato cha mwananchi wa kawaida wa Kenya kwa wastani ni dola 730 tu (Sh. 1.1 milioni) kwa mwaka au chini ya dola 2 kwa siku.
Lakini kwa nchi ambayo wanasiasa wake wanalipwa viwango sawa na wale wa Marekani, mtu angeweza kutarajia nchi hiyo ina miundombinu safi, huduma bora za jamii zikiwamo elimu, maji na afya bure, umeme kwa wingi na bei rahisi na kadhalika.
Wakati Kenya inajitanua kimatumizi kwa wanasiasa wake wakubwa, bado inategemea kusaidiwa na wafadhili kujaza pengo la bajeti yake ya kila mwaka ingawa kiwango cha ufadhili kinashuka mwaka hadi mwaka.
Kutokana na mishahara mikubwa kwa wanasiasa wa Kenya, mtu angetarajia kwamba hakuna haja tena kwao kuliibia taifa kupitia vitendo vya kifisadi. Wizi na ufisadi vimekuwa vitendo vilivyoshamiri katika sekta ya umma nchini humo.

HII HAPA NI ORODHA YA VIONGOZI WANAOLIPWA MISHAHARA MIKUBWA DUNIANI.


  1. Lee Hsien Loong – Waziri Mkuu wa Singapore: Dola 2,856,930 (Tsh 4.5bn) kwa mwaka.
  2. Donald Tsang – Mtawala Mkuu wa Hong Kong ambayo sasa ni sehemu ya China: Dola 513,245 (Tsh 821m/-) kwa mwaka.
  3. Raila Odinga – Waziri Mkuu wa Kenya: Dola 427,886 (TSh 684m/-) kwa mwaka.
  4. Barack Obama – Rais wa Marekani: Dola 400,000 (Tsh 640m/-) kwa mwaka.
  5. Nicolas Sarkozy – Rais wa Ufaransa – Dola 345,423 (TSh 552.6m/-) kwa mwaka.
  6. Stephen Harper – Waziri Mkuu wa Canada: Dola 296,400 (Tsh 474.2m/-) kwa mwaka.
  7. Mary McAleese – Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Ireland: Dola 287,900 (Sh. 460.6 milioni) kwa mwaka.
  8. Julia Gillard – Waziri Mkuu wa Australia: Dola 286,752 (Sh. 458.8 milioni) kwa mwaka.
  9. Angela Merkel – Waziri Mkuu (Chancellor) wa Ujerumani: Dola 283,608 (Sh. 453.7 milioni) kwa mwaka.
  10. Naoto Kan – Waziri Mkuu wa Japan: Dola 273,676 (Sh. 437.8 milioni) kwa mwaka.
  11. Jacob Zuma – Rais wa Afrika ya Kusini: Dola 272,280 (Sh. 435.6 milioni) kwa mwaka.
  12. John Key – Waziri Mkuu wa New Zealand: Dola 271,799 ( Tsh 434.8m/-) kwa mwaka.
  13. David Cameron – Waziri Mkuu wa Uingereza: Dola 215,390 (Sh. 344.6 milioni) kwa mwaka.
  14. Ma Ying-jeu – Rais wa Taiwan: Dola 184,200 (Sh. 294.7 milioni) kwa mwaka.
  15. Lee Myung-bak – Rais wa Korea Kusini: dola 136,669 (Sh. 218.6 milioni) kwa mwaka.
HIVI KWELI KENYA NI TAJIRI SANA KUIZIDI MAREKANI???????

Mkuu JK vp? hayupo kweli?
 
nimeongea na mzee mmoja aliyekua IKULU anasema raisi wetu anachukua zaidi ya nusu ya hela inayotengwa kama bajeti ya IKULU
in fact posho na mengineyo ndio utajiri wa maraisi wetu, wanalipwa hela chafu na haina limit wala wa kuuliza hiyo hela imekwenda wapi ni matumizi yake, na yako clissfied kama NATIONAL SECURITY
 
Uchumi wa kenya unaruhusu. Pia wanasiasa madharan wa kenya wanawajibika sana. Mbona hujasema kima cha chini? Ambao huwa karibu laki tano za kibongo. Hawa ni kada ya chn ktk utumish wa umma. Shortly jamaa wako fit uchumi unaruhusu
 
uchumi wa kenya unaruhusu. Pia wanasiasa madharan wa kenya wanawajibika sana. Mbona hujasema kima cha chini? Ambao huwa karibu laki tano za kibongo. Hawa ni kada ya chn ktk utumish wa umma. Shortly jamaa wako fit uchumi unaruhusu


hacha tu hiyo ya kuruhusu wameweka wazi, kwa hiyo kama kuna mwenye hoja kama mwananchi wa kenya anaweza kuitoa
sasa hapa kwetu hata ya wabunge haturuhusiwi kujua, waraisi ndio kabisa usalama wa taifa

kwa hapa nasema kenya hoye
tuna mengi ya kuiga kutoka kenya
 
hacha tu hiyo ya kuruhusu wameweka wazi, kwa hiyo kama kuna mwenye hoja kama mwananchi wa kenya anaweza kuitoa
sasa hapa kwetu hata ya wabunge haturuhusiwi kujua, waraisi ndio kabisa usalama wa taifa

kwa hapa nasema kenya hoye
tuna mengi ya kuiga kutoka kenya

Mengi ya kuiga ya kuongoza duniani kwa kuwalipa viongoz wetu mkishahara mikubwa kuliko wote duniani au??????????
 
Hii story mbona haijadiliki, wenzangu mmeweza vipi kuchambua na kuijadili? ebu wekeni mshahara wa Rais wa Kenya ndio kuwe na mtiririko wa maaana hapa au mnataka kusema PM anapata mshaharamkubwa kuliko Rais?!

Na kama Rais anapata mkubwa kuliko waziri mkuu wake, kwanini mjadala upo juu ya PM na si Rais wake na system yao kwa ujumla!
 
Mkuu umeeleweka kiundani zaidi. Kwa msingi huo basi tusipomuingiza kwenye Top 5 duniani basi huenda tusiwe tukimtendea haki hata kidogo kimakusanyo.

nimeongea na mzee mmoja aliyekua IKULU anasema raisi wetu anachukua zaidi ya nusu ya hela inayotengwa kama bajeti ya IKULU
in fact posho na mengineyo ndio utajiri wa maraisi wetu, wanalipwa hela chafu na haina limit wala wa kuuliza hiyo hela imekwenda wapi ni matumizi yake, na yako clissfied kama NATIONAL SECURITY
 
Hi guys
If you want to become a highly paid man, struggle to become a politician. You are likely to be among the top fifteen who are highly paid in the world.
Chao
 
Back
Top Bottom