Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,204
- 4,694
Hakuna muda wa kulala
Hakuna muda wa kupoteza
Serikali Ya CCM imeamua na haitaki kuwaangusha Watanzania
Waziri Mkuu ametoa siku 15 kwa mamlaka husika ikiwemo SUMA JKT, Wakala wa Majengo ( TBA) na Halmashauri ya Chamwino kukamilisha Ujenzi wa Hospitali hiyo
Matumizi sahihi ya Rasilimali huleta matokeo sahihi kwetu sote
Hakuna muda wa kupoteza
Serikali Ya CCM imeamua na haitaki kuwaangusha Watanzania
Waziri Mkuu ametoa siku 15 kwa mamlaka husika ikiwemo SUMA JKT, Wakala wa Majengo ( TBA) na Halmashauri ya Chamwino kukamilisha Ujenzi wa Hospitali hiyo
Matumizi sahihi ya Rasilimali huleta matokeo sahihi kwetu sote