Tanzania Railways Corp
JF-Expert Member
- Mar 23, 2018
- 251
- 595
Acheni mbwembwe nyie masela
Kila siku anatembelea tu na mradi hamkamilishi
Na tunasikia mara kwa mara watu wamegoma mara hamuwalipi
Kama mmechoka sepeni tujenge sisi wenyew wajumbe dadeki
walidhani November 2019 haitafikaHivi Nov.2019 bado tuzindue Safari ya kwanza kwenda Morogoro?
Kuna Mambo Mengi Sana YanaukakasiAcheni mbwembwe nyie masela
Kila siku anatembelea tu na mradi hamkamilishi
Na tunasikia mara kwa mara watu wamegoma mara hamuwalipi
Kama mmechoka sepeni tujenge sisi wenyew wajumbe dadeki
Badowalidhani November 2019 haitafika
Hana kazi maalum ya kufanya, si angoje ikamilike akazindue?
Tz ufanyaji kazi ni kama hivi;Huo mradi hao wafanyakazi sijui wanafanya kazi za ngapi?
Kila siku kutemebelewa leo makonda kesho pm keahokutwa bongo movii hujakaaa sawa wasafi hao.