USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,663
Kupitia account yake ya Twitter Bw.Narendra Modi amemshukuru na mumpongeza Rais Magufuli kuwalinda jamii ya wahindi waishio hapa nchini dhidi ya corona
Pia amempongeza na kumshukuru rais wetu kwa kuendeleza ushirikiano mwema na India
Mpaka sasa hakuna mhindi hata mmoja aliyekufa kwa corona nchini licha ya wahindi wengi kupoteza maisha nchini mwao hii inamaana Tanzania imeonesha uimara wa hali ya juu dhidi ya adui corona
Pia amempongeza na kumshukuru rais wetu kwa kuendeleza ushirikiano mwema na India
Mpaka sasa hakuna mhindi hata mmoja aliyekufa kwa corona nchini licha ya wahindi wengi kupoteza maisha nchini mwao hii inamaana Tanzania imeonesha uimara wa hali ya juu dhidi ya adui corona