Ni lini JKN alitumia baiskeli kwenda kazini? Unajua enzi zake kulikuwa na Rolls Royce na ndege ya Rais ijapokuwa wananchi walikatazwa kabisa kuwa na magari?Hayo mambo ilikuwa enzi za Mwalimu, sasa hivi wanashindana kubadilisha V8 na BMW...
Ni lini JKN alitumia baiskeli kwenda kazini? Unajua enzi zake kulikuwa na Rolls Royce na ndege ya Rais ijapokuwa wananchi walikatazwa kabisa kuwa na magari?
Mkuu ishu sio "Baiskeli" think out of the box... kinachotafsiliwa hapo ni kwamba mkuu wa nchi anakuwa mtu wa kubana matumizi na kuishi maisha ya chini na ya kawaida, Je, ccm ya JK inafanya hivyo? Je, wanaisha au wanatenda in accordance to their words of mouth??? Jibu ni NO. Serikali imekuwa loose, matumizi ya hovyo na ya juu yako mengi sana...
Mkuu kwa wenzetu kupanda Baiskel siyo kubana matumizi ni sehemu ya kufanya mazoezi. Hata mayor wa London anakwenda kazini na baiskeli tena kila sikuMkuu ishu sio "Baiskeli" think out of the box... kinachotafsiliwa hapo ni kwamba mkuu wa nchi anakuwa mtu wa kubana matumizi na kuishi maisha ya chini na ya kawaida, Je, ccm ya JK inafanya hivyo? Je, wanaisha au wanatenda in accordance to their words of mouth??? Jibu ni NO. Serikali imekuwa loose, matumizi ya hovyo na ya juu yako mengi sana...
Wakuu katika pita pita nimekutana na hii picha ya Waziri mkuu wa Uholanzi akitumia baiskeli kuelekea ofisini, je viongozi wetu wanaweza hii
?View attachment 53942
Mkuu ishu sio "Baiskeli" think out of the box... kinachotafsiliwa hapo ni kwamba mkuu wa nchi anakuwa mtu wa kubana matumizi na kuishi maisha ya chini na ya kawaida, Je, ccm ya JK inafanya hivyo? Je, wanaisha au wanatenda in accordance to their words of mouth??? Jibu ni NO. Serikali imekuwa loose, matumizi ya hovyo na ya juu yako mengi sana...
Pamoja na kuwa sehemu ya kufanya mazoezi hapa kuna mambo mengi. Kwanza miundo mbinu ya wenzetu inaruhusu mtu kwenda na baiskeli kazini maana kuna njia mahususi ya waendesha baiskeli imetengwa barabarani, na hata Bongo ingekuwa hivi wengi tungeendesha baiskeli kwenda kazini. Pili ni suala la usalama. Viongozi kwa hao wenzetu si wezi wa mali za umma. Wako pale kuwatumikia wananchi wao na kwahiyo hawana uadui na watu wanaowatumikia. Hapa kwetu viongozi wamejijengea uadui na watu wanaowaongoza kwa kuwaibia rasilimali zao na kujilimbikia mali ili hali wao (wananchi) wanataabika na maisha. Kwahiyo kiongozi akipanda baiskeli watampopoa kwa mawe.
AMh. Pinda (mtoto wa mkulima)ndiye aliye kwenye nafasi nzuri ya kujibu swali lako.