Waziri mkuu wa Canada anakuja Tanzania

Saigon,

Viongozi wa nchi za wenzetu,huwa kwanza wanamsoma rais ama kiongozi wa nchi wanayetaka kudeal nayo,halafu wana act accordingly.I might be wrong,but sijawahi kuona kiongozi ie Obama akiwa amepandishwa hiyo mikokotoeni ya mafarasi ambayo hutumika na familia ya kifalme.

Halafu cha ajabu ni kwamba hata mwenyeji wake hakuwepo naye kwenye mkokoteni huo.Wanajuwa ni mpenda masifa na ukuu,issue kama zile za wiki leak ndizo haswa wako nazo kwenye makabrasha and therefore wana act accordingly,wanachotaka wao ni rasilimali zetu.Naona yeye kaanguka masaini tu,ila sidhani kama ameisoma vyema mikataba hiyo.Na sidhani hata kama alipata nafasi hiyo.
mikataba yenyewe imeandaliwa kwa lugha ngumu ya kisheria, sidhani hata kama alisoma ameelewa kitu............
 
Alichosaini JK akiwa Canada...
During President Kikwete's State Visit to Canada in October 2012, Canada and Tanzania signed a Declaration of Intent on the conclusion of the negotiations of a bilateral Foreign Investment Promotion and Protection Agreement.
Canada - Tanzania Relations
 
huyu waziri mkuu anakuja kwa ajili ya interest ya makampuni yao ya madini ya barrick tu na fesi yetu hana lolote
 
Anakuja kukagua malipo aliyoahidiwa baada ya kumbembeza mkulu na kumpa jezi namba 12 ya all in one. Kwa vile mnaye rais kuwadi, kaeni mkao wa kuliwa. Harper hataki mchezo kwenye madini. Barrick itazidi kujitanua na kuiba itakavyo huku ikiwafumba macho kwa kujenga vijidispensary na shule. Ila nawashauri msimpopoe. Muhimu asikatize Mbeya kwa akina Malafyale.
 
Tanzania: Kikwete in Pact to Woo Investors

President Jakaya Kikwete and Canada's Prime Minister Stephen Harper announced this during a joint press conference here on Thursday.

Mr Kikwete hailed the deal, saying it would encourage more investments from Canada and boost the country's economy.

He said the potential for increased Canadian investment in Tanzania is important, especially in the mining, oil and gas, power infrastructure, mining equipment and services, and transport sectors.
.........
Mr Kikwete was responding to a journalist who had asked the president to comment how Tanzania handles investment proposals from companies that originate in countries, like China, that do not share Tanzania's democratic values.

"It surprises me because it is the major democratic economies of the West that are major investors in China. I think I've said it all," remarked Mr Kikwete, adding that he had been to China and visited a number of factories there.


Mkuu hakuna kingine zaidi ya madini,mikataba ilishasainiwa akiwa Canada.

http://allafrica.com/stories/201210060280.html
 
Tuna unequal trade na hawa watu...
Canada's main exports to Tanzania, amounting to $61.5 million in 2011, consisted primarily of used clothing, machinery, and wheat. Canadian imports from Tanzania amounted to $5.3 million, comprising mainly coffee, tea, and cashews. In July 2003, Canada and Tanzania signed an agreement to permit duty-free access for almost all goods produced in Tanzania.
Canada - Tanzania Relations
 
Pia kwenye safari yake hiyo,ameyasifu makampuni ya Artumas na Barrick,pia akafurahia mpango wa afya za wajawazito na watoto,jambo ambalo tungeweza kulifix kwa kutumia mapato ya rasilimali zetu...
Mr Kikwete said that agriculture, mining, fishing, oil and gas were some of the sectors that could provide good returns for both investors and the government. He hailed the contribution of Canadian firms in mining and gas sectors such as Africa Barrick Gold and Artumas.

He said that the Canadian companies had become important partners and players in the country's economy. "Investments and trade between the two countries have been expanding in recent years, but there is still room for improvement," observed Mr Kikwete during a State Dinner hosted in his honour by the Governor General of Canada, Mr David Johnston, on Wednesday.
Mr Kikwete was upbeat about the Muskoka Initiative on Maternal, Newborn and Child Health, launched at the 2010 G8 Summit hosted by Canada, where Prime Minister Stephen Harper and President Kikwete were invited by the UN Secretary-General to co-chair the UN Commission on Information and Accountability for women and children's Health.
The result of the Commission was a report, 'Keeping Promises, Measuring Results', that was officially launched at the UN Secretary General's Every Woman, Every Child high-level event attended by Prime Minister Harper and President Kikwete in September 2011.

The Tanzanian president though observed that still more needed to be done as many women and children in poor countries continue to die from causes that could easily be prevented. Mr Kikwete arrived here on Wednesday afternoon for his twoday State Visit. He inspected a Guard of Honour and was greeted by a 21-gun salute. He is today scheduled to meet Mr Harper and attend a tree planting and wreath laying ceremonies
allAfrica.com: Tanzania: Come to Tanzania, Kikwete Woos Canadian Investors
 
JK. alipokuwa rais wa kwanza kuonana na Obama, kulikuwa na ahadi kuwa naye angekuja TZ kabla muhula wake wa kwanza haujaisha, imegeuka 'white elephant'. Nadhani naye amemwambia "usije tena kwangu nitakuja kwako". Otherwise he's coming for mines & gas

Obama hajawahi kutoa ahadi ya kutembelea Tanzania. Nadhani hizo propaganda zilianzia Tanzania. Safari yake ya kwanza Afrika alienda Ghana. Na ule mkutano wa Kikwete na Obama ulitugharimu $500k tulizoilipa kampuni ya Andrew Young ku-facilitate.
 
Nyinyi watz as long as CCM is ruling he country. You ll never see a thing. And you ll see madudu after Kikwete. Lets wait
 
Wakuu zangu naomba tujadili hii safari ya waziri mkuu wa Canada, Mheshimiwa Harper ambaye atatua nchini muda wowote itakuwa na manufaa gani kwetu na pia tujadili ni jinsi gani ujumbe wetu unaweza kumfikia..
tatakua na maisha yanayo karibiana na standard za canada
 
Katika safari yake ya hivi karibuni huko Canada raisi alishuhudiwa akikokotwa na mikokoteni ya kifahari na baadae akaonekana akisaini mkataba akiwa amezungukwa na wacanada.

Bila shaka ujio wa waziri mkuu wa canada nchini ni kuja kutekeleza mkataba waliosainiana, ambao kimsingi hakuna anayejua ulikuwa ni mkataba wa kitu gani na una terms gani.

yakhe acha uvivu tafuta ujisomee
 
JK alishakokotwa sasa unategemea zaidi? Kilichobaki ni kuja kuvuna dhahabu, gas, na mengineyo na kuacha shanga nyuma ili tupendeze zaidi hasa tutakapoenda masaini kuuza kile kisehemu kidogo kilichobaki kule Loliondo.
images
 
Wakuu zangu naomba tujadili hii safari ya waziri mkuu wa Canada, Mheshimiwa Harper ambaye atatua nchini muda wowote itakuwa na manufaa gani kwetu na pia tujadili ni jinsi gani ujumbe wetu unaweza kumfikia..

Hapa cha kujiuliza ni kwamba rais wetu ametoka Canada juzi na ghafla mwenyeji wake naye anamfuata muda si mrefu, hapa kuna jambo! Nalo ni kwamba Kikwete alikwenda kule kufanya biashara sasa jamaa alishamlipa na hapa anakuja kukabidhiwa mali yake. Mchana tutaoneshwa protocal za kiselikari lakini makabidhiano halisi yatafanyika usiku kama vile Bush alivyopelekwa Namtumbo na Buzwagi usiku. Wewe iko chezea hawa!!
 
mbona hapo kwenye kusaini mkataba mtanzania ni yeye peke yake hakuna hata mwanasheria au mwakilishi mwingine wa serikali? ina maana huko kwenye chumba cha kusainia aliingia peke yake.
 
analeta vioo vya kujiangalia na wine na shanga halafu anaondoka na gold

Wananikumbusha wimbo tulipokuwa watoto:

Jamani Wazungu ni wetu,
Wametuletea ushanga.
Za kufungia shingo,
Huko kwao ni kamba
Za kufunga ng'ombe
 
Kama kuna wanasheria humu watufafanulie kuhusu TANZANIA kusaini mkataba wa uwekezaji kwenye nchi ya CANADA. Rais alikuwa na waziri wa sheria? na mchumi mkuu? alikuwa na mkurugenzi wa kituo cha uwekezaji? ilichukua muda gani kuupitia na kusaini??
 
Wakuu zangu naomba tujadili hii safari ya waziri mkuu wa Canada, Mheshimiwa Harper ambaye atatua nchini muda wowote itakuwa na manufaa gani kwetu na pia tujadili ni jinsi gani ujumbe wetu unaweza kumfikia..

Anakuja kuonyeshwa zile rasilimali walizoahidiwa na Jk kama asante kwa mapokezi aliyopewa alipotembelea canada
 
Historia inajirudia, jezi kwa dhahabu na urani, kama ilivyokuwa kwa chifu wa msowero miaka ya 1800 shanga na vioo vya kujitazamia kubadilishana na ardhi
afadhali hata msowero alikuwa mshamba kaka halafu hakusoma sasa huyu tumwiteje kaka,pale alipo ana kila kitu mshahara mkubwa mali nyingi na pesa kibao uswisi lakini haeleweki.jibu ninalolipata ni mpumbavu maana nikisema mjinga nitakuwa namfagilia.
 
Back
Top Bottom