Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,956
Ukifutalia maelekezo ya Mhe. Waziri Mkuu huko Mwanza Kuhusu uundaji wa meli pamoja na ubainishaji wa mitaa utabaini haya Siyo mambo yakumsubiri Mhe. Waziri Mkuu ndipo hatua zichukuliwe, Kuna viongozi wamekaa ofisini bila kutimiza wajibu wao. Kwa nchi za ulimwengu wa kwanza baadhi ya viongozi walipaswa kutangaza kuondoka ofisini kabla ya kuondolewa. Kampuni inapunguza wafanyakaza Kwa zaidi ya asilimia hamsini bila viongozi wa mkoa kuingilia Kati? Lakini enzi za Nyerere na Mkapa wazir, waziri Mkuu na Mhe Rais kabla ya kwenda Kwenye mkoa wakuu wa mikoa na wilaya walikuwa wanafanya ukaguzi maeneo yote yanayotembelewa na wanaposoma taarifa ndipo changamoto zilikuwa zinaibuliwa.
Sasa hivi viongozi wakuu wa nchi inabidi watoke na taarifa zao mfukoni kwa sababu wakisomewa taarifa kwenye mikoa wanasomewa positive issues only. Negative issue inabidi kuziibua wewe mwenyewe, and that is what happened in Mwanza. PM alitambua taarifa zitafichwa akakusanya zakwake Mwenyewe
Hongera Mhe. Majaliwa, natamani tawala za Mikoa zirejeshwe kwako kuliko kuwa chini ya Mhe. Rais. Tawala za Mikoa zilikuwa zinasaidia zana kuwajibisha viongozi wa mikoa na wilaya. Watu walikuwa wanawajibishwa na Mhe. Waziri Mkuu na issue serious pekee ndizo zilikuwa zinapanda Kwa Mhe. Rais.
Madhara ya muundo wa Sasa nikwamaba, Waziri Mkuu akiwawajibisha Tamiseme it's like anamkosoa Mhe. Rais Kwa sababu viongozi wote wa Tamisemi wanaripoti Kwa Mhe. Rais.
Nategemea hatua zitachukuliwa Kwa uzembe wa viongozi uliopelekea passport za wageni kushikiliwa na mkataba wa KAZI kuuzwa bila mkoa kubaini.
Sasa hivi viongozi wakuu wa nchi inabidi watoke na taarifa zao mfukoni kwa sababu wakisomewa taarifa kwenye mikoa wanasomewa positive issues only. Negative issue inabidi kuziibua wewe mwenyewe, and that is what happened in Mwanza. PM alitambua taarifa zitafichwa akakusanya zakwake Mwenyewe
Hongera Mhe. Majaliwa, natamani tawala za Mikoa zirejeshwe kwako kuliko kuwa chini ya Mhe. Rais. Tawala za Mikoa zilikuwa zinasaidia zana kuwajibisha viongozi wa mikoa na wilaya. Watu walikuwa wanawajibishwa na Mhe. Waziri Mkuu na issue serious pekee ndizo zilikuwa zinapanda Kwa Mhe. Rais.
Madhara ya muundo wa Sasa nikwamaba, Waziri Mkuu akiwawajibisha Tamiseme it's like anamkosoa Mhe. Rais Kwa sababu viongozi wote wa Tamisemi wanaripoti Kwa Mhe. Rais.
Nategemea hatua zitachukuliwa Kwa uzembe wa viongozi uliopelekea passport za wageni kushikiliwa na mkataba wa KAZI kuuzwa bila mkoa kubaini.