#COVID19 Waziri Mkuu: Tuna wagonjwa wachache COVID-19, tuendelee kuwaombea

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,007
9,872
1626852761213.png

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka watanzania waendelee kuchukua hatua dhidi ya COVID-19.

Amesema hadi sasa kuna wagonjwa wachache ambao wanatakiwa kuendelewa kuombewa ili kupona.

Amesema hayo katika baraza la eid el-adha baada ya swala ya Eid iliyofanyika Msikiti wa Mtoro, Dar es Salaam.
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka watanzania waendelee kuchukua hatua dhidi ya COVID-19

Amesema hadi sasa kuna wagonjwa wachache ambao wanatakiwa kuendelewa kuombewa ili kupona

Amesema hayo katika baraza la eid el-adha baada ya swala ya Eid iliyofanyika Msikiti wa Mtoro, Dar es Salaam
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi, Kariakoo au Magomeni?😟
 
Kwanini wasitoe lugha yakweli ili tushikamane kujilinda. Ila wanapenda kutoa lugha ngumu kwenye upuuzi mfano solidarity tax
Nilazima.

Kwann waziri asiseme tufunge mkanda halimbaya.
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka watanzania waendelee kuchukua hatua dhidi ya COVID-19

Amesema hadi sasa kuna wagonjwa wachache ambao wanatakiwa kuendelewa kuombewa ili kupona

Amesema hayo katika baraza la eid el-adha baada ya swala ya Eid iliyofanyika Msikiti wa Mtoro, Dar es Salaam
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi. Wanataka atoke, atoke aende wapi, Kariakoo au Magomeni?😟
 
Eti tuwaombee.

Tunakatwa Kodi pelekeni huduma za afya watibiwe tuwaombee ili iweje.


Shenzi
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka watanzania waendelee kuchukua hatua dhidi ya COVID-19

Amesema hadi sasa kuna wagonjwa wachache ambao wanatakiwa kuendelewa kuombewa ili kupona

Amesema hayo katika baraza la eid el-adha baada ya swala ya Eid iliyofanyika Msikiti wa Mtoro, Dar es Salaam
Nimeyakumbuka yale maneno yake kule Msikitini siku alipotutangazia kuwa mwendazake yupo busy na mafaili wanataka wamuone akizurura Manzese?

Nilicheka sana sana baada ya siku chache na kuhuzunika kuona nyumba za Ibada watu wameamua kuzipuuza.

Iinatia hasira san
 
Toka alipotoa kauli ya Rais wanataka atoke aende wapi nishamtoa kwenye mambo ya msingi kumsikiliza yeye labda avamie uda tena kuangalia bus zilizojaa tope.
 
Nenda mortuary ya KCMC na Mawenzi mkoani Kilimanjaro ukijionee maiti walivyo wengi.

Sometime tuache upambe. Ina maana watu hawakuwa wnakufa mpaka wakati wa Corona? Una uthibitisho gani wote wanaokufa ni sababu ya Corona?

Tuache kujidanganya nafsi. Dunia nzima inatetemeka sababu ya Corona ila nchi yetu haikuwa imedhurika kwa kiwango kikubwa kama India, Brazil na kwingine kufa ni ahadi. Tutakufa tu.
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka watanzania waendelee kuchukua hatua dhidi ya COVID-19

Amesema hadi sasa kuna wagonjwa wachache ambao wanatakiwa kuendelewa kuombewa ili kupona

Amesema hayo katika baraza la eid el-adha baada ya swala ya Eid iliyofanyika Msikiti wa Mtoro, Dar es Salaam
Mie siamini tena lolote linalosemwa na Waziri Mkuu. Alishajidhihirisha kwamba ni mwoingo hana hata aibu kudanganya akiwa msikitini, sembuse nje ya msikiti?
 
Mie siamini tena lolote linalosemwa na Waziri Mkuu. Alishajidhihirisha kwamba ni mwoingo hana hata aibu kudanganya akiwa msikitini, sembuse nje ya msikiti?
Uamini usiamini haina impact yoyote kwa Taifa. ..wala huhitaji kutuambia umma ambao unamkubali kwa asilimia 90
 
Ajue wapi kwani walishawahi kuweka kumbukumbu(data) zozote za covid?
Umeshawahi uliza wizara ya afya. .nyie binadamu msiseme mambo kwa kukurupuka. ...Bila research hutakiwi kupanua domo na kusema. .Sema sera ya Serikali ilikuwa haikutaka kuwapanikisha watu. .kwa kutoa takwimu.huku ikisisitiza kuchukua tahadhari zote. .
 
Back
Top Bottom