Norbert Kapinga
Member
- Aug 28, 2015
- 37
- 12
hii COMMENT yako imeniongezea furaha siku ya leo, AhsanteeeRoma na Maka wamesitisha ibada za mikusanyiko Makanisani na Misikitini lakini waswahili tunakomaa na kukusanyika. Mungu atunusuru.
hii COMMENT yako imeniongezea furaha siku ya leo, AhsanteeeRoma na Maka wamesitisha ibada za mikusanyiko Makanisani na Misikitini lakini waswahili tunakomaa na kukusanyika. Mungu atunusuru.
KampeiniKwahiyo wazazi waende wabebe ugonjwa wapeleke nyumbani kwa watoto na wafanyakazi waliobaki nyumbani? Kuombea taifa lipi sasa? Linaloenda kuambukizwa ibadani likaambukize nyumbani? Nini shida na hizi ibada? Tunataka kumfurahisha nani?
Ndio,kitatafutwa lakini ugawaji wake nao shida. Mi nahisi kwanzu kila mtu angeelewa kuwa hali ya sasa, kipaumbele kipewe ubinadamu tu.Serikali itafute chakula cha kuwalisha watu wa Dar na Zanzibar kwa wiki mbili angalau halafu wote hao wafungiwe ndani
ay ay ay twendako kubaya jamani!!!!!
Ila wewe jamaa si uliomba hili janga litukumbe!Hakuna faida yeyote yaani wazazi tusali halafu twende kuwaambukiza watoto wetu nyumbani. sikubaliani na waziri mkuu hata kidogo makanisa, miskiti, baa, masoko, minada, maeneo ya kubeti, vyote vingefungwa mala moja.
Nchi ya kipumbavu sana kuwafurahisha wachungaji na mapadri uku wananchi wanateseka uzuri huu ugonjwa hauangalii wewe ni nani hata Yeye unaweza mpata.
Kwaya zimefutwa! Hakuna kuimba. NImeona hata jana parokiani kwetu. afadhaliiiiiiNAKWEDE,
Wanazingua sana... Lakini, ni tatizo letu Waafrika - wagumu kuelewa.
Wamekataza kuimba.Kwaya zimefutwa! Hakuna kuimba. NImeona hata jana parokiani kwetu. afadhaliiiiii
Kuna watu umewagusa hapo ulipotilia mkazo Mbege! Maana wana ukabila ndani ya Chama chao.Zitto ameshauri marufuku ya Bar na vilabu vya pombe za kienyeji mfano Mbege!