paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,504
- 3,499
Ukiwa unaendesha familia yako halafu ukataka kuiga mtindo wa jirani yako anavyoongoza familia yake, ujue wewe ni kidume suruali,Roma na Maka wamesitisha ibada za mikusanyiko makanisani na misikitini lakini waswahili tunakomaa na kukusanyika. Mungu atunusuru.
Semea nchi yako wewe unaonaje?