Waziri Mkuu: Tumejiandaa vema kupambana na mgomo wa madaktari

huyu ni ***** tu! hata kingereza chake ni broken, anatuletea sisi watu wazima hapa! (huwezi kusema intellectual yao ukitumia simple grammar, aende akarudie madaftari yake ya shule ya msingi kabla ya majigambo na kingereza chake cha ugoko!)

Hicho ni Kiswanglish mzee, inaonekana amekupiga pabaya dokta, pole!!!
 
Hii habari ni ya kweli. Serikali inajiandaa kutangaza ajira. Madaktari wajipange vizuri kukabiliana na huu mduara unaowanyemelea.
 
Huo utaku ni ukosefu wa uwezo wa kuona mbele zaidi juu ya sakata la mgomo wa Madaktari; eneo hili la Afya si eneo la kufanyia majaribio kama vile tulivyofanya kwa Walimu VODA FASTA

Jamani kwa maamuzi ya aina hiyo tutaua watu hivi vile vile hata nao madaktari wapya kuna siku watakuja na madai zaidi ya haya ya hivi leo.

Je tukija kujikuta katika hali ya ki-mgomo na hao madaktari wanaotazamiwa hivi sasa, uamuzi wetu tena utakuja kuwa ni wa kuendeleza huo mchezo wa kuajiri wengine?

Kuna habari kuwa serikali inatayarisha Tangazo la ajira kwa nafasi za Udaktari na udaktari bingwa haraka iwezekanavyo.

Je, hii inaweza kuwa long term solution ya matatizo ya mgomo wa madaktari.
 
una dr ambaye yuko loose mtaani?
Maana yake uwachukue walio ktk kazi zao then uwaajiri then kwa mshahara upi?
 
Safiii,, hiyo ndiyo dawa,, Ndiyo dawa haswa ya paka mramba tui,, kama hataki panya na wali usimpe

Unalopoka tu au unafikiri udaktari ni sawa ualimu?kwa taarifa yako hakuna daktari ambaye hana kazi,hospitali binafsi zimejaa kibao kila kona wanatafuta madaktari, kalaga baho na ubwenzi wako.
 
Mwenye matatizo ni yule kichwa nazi,why he can't say something? Rais gani kila kitu anatumia Washenga!!!????
 
Labda atapeleka wajeda.
Alafu JK anapenda mtumia PM kama chambo ili mambo yakitibuka yeye anajifanya kuingilia kati hajui in one way or the other anamshushia status PM
 
Pinda anacheza kiduku tu,sasa wakitangaza ajira,je wasipoapply je itakuwaje? Si mgomo ndio utazidi kua mkubwa? Pinda na jeikei fukuza tu hao kina mponda na nkya,hapo kishanuka no holdingback!!
Sasa hivi wana nguvu kwa sababu wapo pamoja. When it comes ni kila mtu kufa mwenyewe, lazima waapply kazi.
Kila mtu anashida zake na malengo yake. Siyo kwamba madaktari wote wanapenda kugoma. Hii tactic ni nzuri sana n should be implimented ASAP
 
Watawazuia wasitoke... siunajua serikali inamkono mrefu!!!!

Sioni logic yakumtoa katibu mkuu kwa shinikizo na kushindwa kumtoa waziri kwa shinikizo hilohilo!!!!??? Tatizo ni nafasi ya waziri au Jina la waziri????
 
Ta Muganyizi,
Tunaomba utoe hilo bandiko lako la Nafasi za kazi Botswana
Tupe link tu inatosha...Unaspam hii thread mkuu!
 
Hii nchi nchi kweli ya ajabu,miaka 50 ya uhuru tumeshindwa kusomesha madaktari wakutosha,hiyo ajira mpya itachukua muda gani mpk kule tandahimba wapate madaktari wakutosha?kweli serikali legelege huzaa viongozi legelege wenye mawazo legelege,kama kina Pinda
 
Kuna habari kuwa serikali inatayarisha Tangazo la ajira kwa nafasi za Udaktari na udaktari bingwa haraka iwezekanavyo.

Je, hii inaweza kuwa long term solution ya matatizo ya mgomo wa madaktari.

Ni upuuzi uliofikia kiwango cha juu sana. Watu katika mataifa mengine wanapambana na brain drain huku wakiongeza maslahi kwa waliopo wao wanakuja na solution hii.

Ni wavivu wa kufikiri, namaanisha kwa usahihi. Ili utangaze ajira mpya lazima uwafukuze hao waliopo, vinginevyo unajaza nafasi za ajira zilizopo wazi za miaka yote kutokana na pengo la madaktari. Ambalo katika hilo, watakao omba ni wale walio nje ya ajira ya serikali.

Wakisema waamue kuwafukuza waliopo wakubali kuwalipa pesa zao kwa kuwafukuza kazi maana wapo katika ajira za kudumu. Mbaya zaidi kipindi watakapo wafukuza lazima wawe na uhakika wa madaktari wa kufidia hilo pengo. Hilo halijafanyika, wanataka tulipuke zaidi maana that will be more than suicide mission.

hallucinations ni moja ya dalili mbaya ya ugonjwa wa akili
Yes, that is what our "leaders" are doing.
 
Back
Top Bottom