chinchilla coat
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 5,107
- 10,961
Waziri mkuu Kassim Majaliwa amesema licha ya kuingiza kiasi kingi cha sukari nchini ndani ya kipindi kifupi bado sukari ni ya bei juu, wamesema wana mpango wa kufanya tathini upya wa mahitaji ya sukari nchini na kuongeza uzalishaji wa sukari kwa kuongeza viwanda vilivyopo na kuviongeza ufanisi.
Amesema pia wana mpango wa kuongeza uzalishaji miwa na kuwajengea wakulima utaalamu na kanuni bora za uzalishaji.
Amesema pia wana mpango wa kuongeza uzalishaji miwa na kuwajengea wakulima utaalamu na kanuni bora za uzalishaji.