Waziri Mkuu: Tumeingiza sukari nyingi nchini lakini bado haitoshi, tunafanya tathmini upya

Ukiiona Thread Iliyojaa Ukweli Kama Hii
Jamaa Wale Wa Ile Ile Hawaji Hata Uchangia
Maana Ni Aibu Mpaka Sasa
Sukari Imekuwa Dhahabu/Tanzanite
 
Niliweka uzi unaohusu kufanyika tathmini ya kujua mahitaji halisi ya sukari ukapotezwa kimiujiza. Ni jambo jema kama serikali imeliona hili.

Hii ni moja ya biashara ambayo serikali ikiweza kuzuia magendo yake itapata kodi nzuri tu.
 
Mbona hakukuwa na tatizo la sukari katika nchi hii? Kwani mlifanyaje Mr. PM?? tutanunua sukari kwa shs 4,000 mpaka lini? wanasema "Patience is the companion of wisdom....." lakini miezi inakwenda na hakuna mabadiliko!

Tatizo ni pamoja na biashara hii kufanyika kimagumashi, hiyo bei ya 1800 inasaidia nini kama serikali inapoteza kodi kwa biashara ya nagendo.
 
Naona mnachanganyikiwa mkiona jinsi serikali inavyo viruka vihunzi.
Kipi haswa kizur cha kumchanganya mtu... Hongera ww usiechanganyikiwa kwakua kwenu huko sukar 1800 .. Hv ww tangu serikali ianze kubana matumizi kipi ambacho umenufaika?? Kila kukicha gharama za maisha zinapanda.. Hv we unadham kodi ikipanda nani anaumia.. Kwel hiki chama cha kjan kishakupoteza
Ila inaelekea ww bado unakula kwenu .. So haya mambo waachie watu wazima
 
Amegusia kuhusu bei elekezi ya Tzs 1,800 per Kg?

'Inji' hii hata sijui tumerogwa na nani!
 
Naona mikakati mliyokuwa nayo ya kumchelewesha mheshimiwa JPM inakwama kila uchao.


[.QUOTE="multiphill90, post: 16694528, member: 327624"]Kipi haswa kizur cha kumchanganya mtu... Hongera ww usiechanganyikiwa kwakua kwenu huko sukar 1800 .. Hv ww tangu serikali ianze kubana matumizi kipi ambacho umenufaika?? Kila kukicha gharama za maisha zinapanda.. Hv we unadham kodi ikipanda nani anaumia.. Kwel hiki chama cha kjan kishakupoteza
Ila inaelekea ww bado unakula kwenu .. So haya mambo waachie watu wazima[/QUOTE]
 
Ingekuwa wingi na uzuri wa maneno na ahadi za matumaini vinajenga Nchi, mpaka barabara zete zingekuwa za kioo na mito ingetiririsha maziwa na asali.
 
hajitambui utafikiri pedeshee la kikongo kutwa kuongopa majaliwa anaweza omba wananchi samahani kwa kuwadanganya
da!!!! mkuu wewe huogopi kuwa nyumba yako itazingirwa?....

halafu uitwe mchochezi.....
 
Si walisema siku si nyingi tatizo litafutika na kwamba wananwajua walio ficha sukari!!!!

Leeo tena wanasema waliagiza??? # mkurupuko
 
Back
Top Bottom