Mkuu siyo Dar - Pugu tu; hata bandarini bado reli ya SGR haijafika.Hicho kipande cha Dar mpaka Pugu shida yake ni nini mbona hakisogei, au hiyo ardhi wakati mwingine huwa inahama?
Mkuu siyo Dar - Pugu tu; hata bandarini bado reli ya SGR haijafika.Hicho kipande cha Dar mpaka Pugu shida yake ni nini mbona hakisogei, au hiyo ardhi wakati mwingine huwa inahama?
Mkuu, mbona kama unamsema tundu lisu? Description uliyotoa hapa yani ni lisu kabisa.Mkuu nakushauri uachane na kumquote huyo zuz.u, huwa hana akili. Alishatengwa na familia kwa kuwa tegemezi sababu ya kushinda mitandaoni. Ana very low thinking capacity.
Tunaelekea disemba sasa, hakuna matumainiHayo yamesemwa leo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania alipotembelea stesheni ya kisasa iliyojengwa eneo la Gerezani jijini Dar es salaam.
Waziri mkuu Kassim Majaliwa aliupongeza uongozi wa shirika la reli nchini TRC kwa kusimamia huo mradi huo unaotekelezwa na kampuni ya Yapi merkezi toka Uturuki na kwamba kwa sasa huo mradi kipande cha Dar mpaka Moro umekamilika kwa 91%.
Waziri mkuu amewatoa hofu watanzania kwa kueleza kuwa kazi chini ya rais mama Samia zinaendelea na miradi yote mikubwa itatekelezwa kwa manufaa ya umma.
Awali Masanja Kadogosa ambae ni mkurugenzi wa Trc alisema kuwa walitarajia mabehewa na vichwa vya treni kuwasili mwezi Julai mwaka 2021 au mapema zaidi.
Mpaka sasa kipande cha Dar mpaka pugu kimekwama kukamilika japokuwa ni kipande kifupi
Wanajali sasa hata wakiingizwa chaka?.Awe na hakika na hiki anachokinena? Awe makini asiingizwe chaka tena
huo ni mradi wa matrilion siyo kibanda kama unajenga choo au kama kile kibanda walicho kodi chadema pale ufipaTunaelekea disemba sasa, hakuna matumaini
Leo ni November 25, 2021. Au alisema Julai 2022?Awe na hakika na hiki anachokinena? Awe makini asiingizwe chaka tena
July imeshapita kwa mbali!Sidhani, Waziri Mkuu amekuwa mwongo mwongo sana.
Kumbeeee! Aliyeniambia ni Mao atakuwa mwongo Sana!..Mwalimu Nyerere alijenga reli ya Tazara Dsm mpaka Kapirimposhi Zambia kwa muda wa miaka 5.
..tunakwenda mwaka wa 5 sasa Sgr haijafika Morogoro.
Kumbeeee! Aliyeniambia ni Mao atakuwa mwongo Sana!
Jamaa mwongo sana MkuuZa kuambiwa, changanya na zako.
Una hoja ya msingi sana,dar moro miaka mitano,dar kapirimposhi miaka mitano,sasa hivi technology imekua na wamepita pembeno ya reli ya zamani,miundombinu iko tayari,wanafeli wapi..Reli ilijengwa wakati Mwalimu Nyerere ni Raisi ndio maana credits / sifa zinakwenda kwake.
..Hoja ambayo nilikuwa najaribu kuisisitiza ni muda uliotumika kukamilisha mradi wa ujenzi wa Tazara.
..Ndani ya miaka 5 ilijengwa reli toka Dar mpaka Kapirimposhi.
..Tukija kwenye SGR kipande cha Dar to Moro huu ni mwaka wa 4 bado hatujakabidhiwa. Tatizo ni nini?
huo ni mradi wa matrilion siyo kibanda kama unajenga choo au kama kile kibanda walicho kodi chadema pale ufipa
Tatizo hela ya kuunga unga hioKama km 200 kwa miaka 5 basi hadi mwanza ni balaa