Waziri Mkuu: Treni ya SGR kuanza majaribio Julai 2021

Mkuu nakushauri uachane na kumquote huyo zuz.u, huwa hana akili. Alishatengwa na familia kwa kuwa tegemezi sababu ya kushinda mitandaoni. Ana very low thinking capacity.
Mkuu, mbona kama unamsema tundu lisu? Description uliyotoa hapa yani ni lisu kabisa.
 
Hayo yamesemwa leo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania alipotembelea stesheni ya kisasa iliyojengwa eneo la Gerezani jijini Dar es salaam.

Waziri mkuu Kassim Majaliwa aliupongeza uongozi wa shirika la reli nchini TRC kwa kusimamia huo mradi huo unaotekelezwa na kampuni ya Yapi merkezi toka Uturuki na kwamba kwa sasa huo mradi kipande cha Dar mpaka Moro umekamilika kwa 91%.

Waziri mkuu amewatoa hofu watanzania kwa kueleza kuwa kazi chini ya rais mama Samia zinaendelea na miradi yote mikubwa itatekelezwa kwa manufaa ya umma.

Awali Masanja Kadogosa ambae ni mkurugenzi wa Trc alisema kuwa walitarajia mabehewa na vichwa vya treni kuwasili mwezi Julai mwaka 2021 au mapema zaidi.

Mpaka sasa kipande cha Dar mpaka pugu kimekwama kukamilika japokuwa ni kipande kifupi
Tunaelekea disemba sasa, hakuna matumaini
 
Kumbeeee! Aliyeniambia ni Mao atakuwa mwongo Sana!

..Reli ilijengwa wakati Mwalimu Nyerere ni Raisi ndio maana credits / sifa zinakwenda kwake.

..Hoja ambayo nilikuwa najaribu kuisisitiza ni muda uliotumika kukamilisha mradi wa ujenzi wa Tazara.

..Ndani ya miaka 5 ilijengwa reli toka Dar mpaka Kapirimposhi.

..Tukija kwenye SGR kipande cha Dar to Moro huu ni mwaka wa 4 bado hatujakabidhiwa. Tatizo ni nini?
 
..Reli ilijengwa wakati Mwalimu Nyerere ni Raisi ndio maana credits / sifa zinakwenda kwake.

..Hoja ambayo nilikuwa najaribu kuisisitiza ni muda uliotumika kukamilisha mradi wa ujenzi wa Tazara.

..Ndani ya miaka 5 ilijengwa reli toka Dar mpaka Kapirimposhi.

..Tukija kwenye SGR kipande cha Dar to Moro huu ni mwaka wa 4 bado hatujakabidhiwa. Tatizo ni nini?
Una hoja ya msingi sana,dar moro miaka mitano,dar kapirimposhi miaka mitano,sasa hivi technology imekua na wamepita pembeno ya reli ya zamani,miundombinu iko tayari,wanafeli wapi
 
Back
Top Bottom